Mtaa wangu kwa kweli naona watu wameelewa kiasi kikubwa mabanda ya video na vijiwe kwa sasa havina watu , ndoo na sabuni pia wameweka sijajua he wananawa Mara kwa Mara au ni pambo tu
Habari wana Jf
Niliwahi kupata kuishi morogoro na kupata kujenga sehemu ya kujisitiri katika kiwanja ambacho hakijapimwa japo nimekuwa nikilipia jengo hill hapo manispaa.
Nimepata taarifa kunatakiwa kibari cha ujenzi kwa sale tulio wahi kujenga bila vibali naomba kujua hatua za kufuata ili...
Ndugu zangu Tanzania husifika kwa ndondi kimataifa, lakini cha kushangaza leo hii wameshindwa kutoa upinzani kiasi cha kupigwa wote kwa KO.
Boxing Federation hamna cha kukwepa yaani mmetia aibu taifa kwa maandalizi hafifu.
Hivi waliteuliwaje hao vijana au michongo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.