Tanzia: Roman Luoga afariki dunia

Tanzia: Roman Luoga afariki dunia

R.I.P....nauliza ana undugu na marehemu benny luoga?
 
Nenda kapumzike brother Luoga, nenda kamsabahi kaka yako, swahiba wako Achimpota, RIP brother.
 
Chombo chochote cha habari kikitangaza kifo husema wazi ndugu Fulani anatangaza kifo.cha mjomba wake kilichotokea nk na uthibitisho .Hata kama ka quote radio awe ndugu na aweke uthibitisho .Jamii forums ni chombo cha habari kama vingine principle ni ile ile hasa kwenye matangazo ya vifo
Sawa mkuu, mimi sijasomea mambo ya vifo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Roman Luoga
2. OCD Chalinze
3. DC Geita
4. Mwenyekiti wa jumuia ya wazazi CCM
5. Mganga mkuu
Hao ndio vigogo wa leo
 
Chombo chochote cha habari kikitangaza kifo husema wazi ndugu Fulani anatangaza kifo.cha mjomba wake kilichotokea nk na uthibitisho .Hata kama ka quote radio awe ndugu na aweke uthibitisho .Jamii forums ni chombo cha habari kama vingine principle ni ile ile hasa kwenye matangazo ya vifo
Ok,subiri baada ya uchaguzi,tutatunga hiyo sheria unayoitaka
 
Back
Top Bottom