Unakosea, si kila mtu anapeleka mtoto private ili apate elim bora, wengine ni ubora wa service, vitu kama mazingira, malazi, afya na lishe ndo wanafuata.
Kumbuka ni matajir wachache sana ambao wanajali ubora wa elim atayopata mtoto wake, wengi wao kupeleka mtoto shule za gharama ni sifa...