Mwai Kibaki ana uchu wa madaraka, hii ndiyo maana hataki kuachia ngazi na akaiba kura. Pili, Raila alitangaza kuwa atakapokuwa Rais, ataunda kamati ya kuchunguza mauaji lukuki yaliyofanyika ya viongozi waadilifu kama Tom Mbuya na wenzake.Akina Moi na wenzake wanahofia siri zao za kuwaua viongozi...
Balozi ni kiungo kizuri sana kati ya nchi yetu na ile nchi ulipo ubalozi wetu.Balozi ni mtafiti wa maswala mengi sana ya kiuchumi,uongozi,siasa,utamaduni,na mambo mengi,mengi sana kwa ajili ya kuendeleza nchi yetu.Nafasi ya ubalozi ni kitu muhimu sana, ila tatizo ni mtu yule aliyepewa dhamana ya...
Hizo ajira za JK zitakuja linio Jamani? Mbona nina elimu , sikuwa na ajira na bado sina ajira? Zitakuja lini hizo ajira ? Hizo naona zilikuwa ni usanii tu wa kujitafutia urais. Likini JK ujue umetuangusha sisi wengine masikini , tusiokuwa na ajira japo tuna ka-elimu kidogo.
Wazo lako zuri. Ila Tuangalie na lingine :
Hivi huyu mkuu wa chuo cha Taifa cha Utalii- National College of Tourism, Tandika; mbona yeye Serikali hammuliki pamoja na madhambi yake yote ya kuvuruga chuo hiki kizuri cha Taifa? Ana majigambo mengi sana na anadai hawezi kuondolewa chuoni eti...
We need Democracy.Kibaki dont think all Africans are foolish and can not detect your illigal trends of dictatorship.Grandsons in the next generations will ask you this.If you werent be there, your children and grand children will bear the cost of this burden you are trying to put in kenya
Is it possible that Hon. Raila Odinga can accept the post of being the prime misnister of kenya while he plus ODM believe that it is Raila who won the poll and Kibaki just manipulated?
Will Raila accept to be the number 3 in the governmental forum just after Kalonzo Musyoka and his greates...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.