Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,502
- 156
Heshima mbele wanabodi,
nimekuwa nikiwaza tunapoelekea na nimekosa jibu,Mambo mengi yanafanyika nchini yamejaa usanii mtupu na watendaji wameshinda kuwajibika ipasavyo katika kutupatia maisha bora sisi watanznia.
Suala la Mkataba wa Buzwagi, suala la richmond, suala la Ukraine, suala la mikopo ya wanafunzi, suala la Ditto, suala la kufukuzwa mhasibu wa wizara ya elimu, suala la helikopta za jeshi, suala la kasungura ambako sisi hatujakaona.
Suala la MOI: Hivi Muungwana anasubiri nini kuwaondoa Mawaziri hawa, Watendaji hawa, wakati dalali mbaya zilishajionesha ya kuwa utendaji wao ni wa mashaka na unadhidi kutududumiza sisi wana wa watanzania?
Sina ubaya na hawa watu ila inauma sana. Naomba kuiwasilisha Hoja Nzito, tukiungana kwa pamoja kama JF na kuwa Busara zetu tushnikize mawaziri na watendaji wote ambao wameonesha kushindwa kutulea maendeleo tunayotaka wang'olewe,. Naamini muungwana unasoma mada hii nayo, tupe raha watanzania.
Mafisadi wote: Kama uko ofisi yoyote naomba utupe Watu wanokwamisha maendeleo, na Naapa Nitakusanya majina yote na nitafunga safari mimi mwenyewe mpaka ikulu kumplelekea Muungwana..uwe na ushahidi wa kutosha..
Nimechoka na Usanii,na niko tayari kwenda kumuona Amri Jeshi Mkuu,
Mhe. Mwanakiji alishaanza na kampeni ya Msolla Ang'oke
Mie naendeleza jina la pili Karamagi ang'oke..
nimekuwa nikiwaza tunapoelekea na nimekosa jibu,Mambo mengi yanafanyika nchini yamejaa usanii mtupu na watendaji wameshinda kuwajibika ipasavyo katika kutupatia maisha bora sisi watanznia.
Suala la Mkataba wa Buzwagi, suala la richmond, suala la Ukraine, suala la mikopo ya wanafunzi, suala la Ditto, suala la kufukuzwa mhasibu wa wizara ya elimu, suala la helikopta za jeshi, suala la kasungura ambako sisi hatujakaona.
Suala la MOI: Hivi Muungwana anasubiri nini kuwaondoa Mawaziri hawa, Watendaji hawa, wakati dalali mbaya zilishajionesha ya kuwa utendaji wao ni wa mashaka na unadhidi kutududumiza sisi wana wa watanzania?
Sina ubaya na hawa watu ila inauma sana. Naomba kuiwasilisha Hoja Nzito, tukiungana kwa pamoja kama JF na kuwa Busara zetu tushnikize mawaziri na watendaji wote ambao wameonesha kushindwa kutulea maendeleo tunayotaka wang'olewe,. Naamini muungwana unasoma mada hii nayo, tupe raha watanzania.
Mafisadi wote: Kama uko ofisi yoyote naomba utupe Watu wanokwamisha maendeleo, na Naapa Nitakusanya majina yote na nitafunga safari mimi mwenyewe mpaka ikulu kumplelekea Muungwana..uwe na ushahidi wa kutosha..
Nimechoka na Usanii,na niko tayari kwenda kumuona Amri Jeshi Mkuu,
Mhe. Mwanakiji alishaanza na kampeni ya Msolla Ang'oke
Mie naendeleza jina la pili Karamagi ang'oke..