Recent content by tambikagani

  1. tambikagani

    DSTV mmeniudhi kwa kweli, bora AzamTv

    Suppose DStv nao wanashusha being,je utahamia Azam au utabaki DStv. acheni maneno,namba mshaisoma mnabaki kulalamika.
  2. tambikagani

    Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

    Mkuu wacha urongo na chokochoko,ushaambiwa kelele zenu abiria hazina maana,wacha roli lisonge
  3. tambikagani

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Dereva wa roli anapuyanga tu,haangalii nyuma,haangalii abiria wake wamepatwa na nini,yeye mbele kwa mbele.
  4. tambikagani

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Pole sana Mshana Jr mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu
  5. tambikagani

    Mjadala: Tufanye nini kutokana na huduma mbovu za internet toka kampuni za Simu Tanzania?

    Salaam,hivi karibuni kumekuwa na mdororo wa huduma za internet toka kwenye Makampuni ya Simu za mkononi,Watu wanajinyima kununua bundle lakini huduma zimekuwa mbovu mno,na mdororo unaendelea kwa kasi sana. Tukutane hapa kwa ajili ya mjadala wa wazi,nini kifanyike.,Binafsi nimejaribu makampuni...
  6. tambikagani

    Halotel mmeanza kupuyanga sasa!

    Wanazingua kinoma
  7. tambikagani

    Kutoka Kanisa Ufufuo na Uzima: Gwajima awazungumzia Diamond, Halima Mdee kumtusi Spika na Utekaji

    Baba Askofu ameanza tabia ya kupiga hata wasiompiga yeye. Kwa hili la Halima Mdee Askofu,nimemuelewa Askofu kuwa yeye hakufurahishwa na Mbunge wake kutoa Tusi hadharani..nafikiri ingekuwa mbunge ambaye si wake asingempiga..
  8. tambikagani

    Roma: Boss Ruge amehangaika na sisi kuanzia asubuhi mpaka sasa tupo pamoja naye

    Wasiposema ukweli,next time hatutopiga kelele!
  9. tambikagani

    VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

    Inaonekana kuna kamchezo katachezwa.,Jumatatu kuna watu(unanimous) watapelekwa Mahakamani,then utaskia kesi ipo Mahakamani na si ruhusa kuzungumza chochote kilicho Mahakamani.. na story may end up there..
  10. tambikagani

    Tutampataje Roma kwa kutumia namba zake za simu?

    Kwa maelezo ya Bashite,inaonekana kabisa anajua wapi walipo Roma na wenzake, Amesema kufikia Jumapili watakuwa wqmeshapatikana,na hata ukikuangalia machoni,anaonekana kabisa anauzunguka mbuyu..Siku ikifika Mungu atawachapa vibaya hawa watu..
  11. tambikagani

    Yaliyojiri: Mkutano wa Wanahabari na Spika wa Bunge, Job Ndugai

    Naskia mahojiano yamehamishiwa Bandarini..
  12. tambikagani

    Yaliyojiri: Mkutano wa Wanahabari na Spika wa Bunge, Job Ndugai

    naskia ameshafika press itaanza soon..ngoja tuskie
  13. tambikagani

    Ni kwanini Rais Magufuli kila akihutubia anapenda kutukemea na kutoa amri na vitisho?

    anataka awe mhariri,awe anapanga Kurasa ya mbele ikae habari gani!!
  14. tambikagani

    KULIKONI GAZETI LA JAMBO LEO

    jamaa wamepata misukosuko so nafikir wameona wawe kwenye kipindi cha mpito wakiomboleza madhira alopata Bwana Kubwa
Back
Top Bottom