Mjadala: Tufanye nini kutokana na huduma mbovu za internet toka kampuni za Simu Tanzania?

tambikagani

Member
Feb 15, 2017
49
21
Salaam,hivi karibuni kumekuwa na mdororo wa huduma za internet toka kwenye Makampuni ya Simu za mkononi,Watu wanajinyima kununua bundle lakini huduma zimekuwa mbovu mno,na mdororo unaendelea kwa kasi sana.
Tukutane hapa kwa ajili ya mjadala wa wazi,nini kifanyike.,Binafsi nimejaribu makampuni yote lakini hakuna lenye unafuu.
 
Back
Top Bottom