Jamani ttcl 4g ni zaidi ya noma kwenye speed, au connect na fiber ndio utajua mwisho wa maneno...hakika ttcl ni baba laoSasa mkuu hao ttcl vocha yao mpaka upandie basi?
Mimi nilidhani simu yangu mbovuTuliwapokea vyema na speed ya internet yenu ilitubamba ila kwa sasa naona mmeelemewa na mzigo aisee. Yaani hata Live streaming tu ni shida, tena huu mwezi ndio kabisaaa!!
Kupost tu hii thread, imenichukua 3times retrying. Bora hata nirudi voda kwa wapigaji maana mitandao mingine ndio wababaishaji tu.
eeeh mkuu hao Ttcl ndio sitaki wasikia kabisa maana ni matapeli wa kutupwa,nilinunua line yao juzi lakini walichonifanya baada ya mita kadhaa nikaambulia patupuMkuu line ya TTCL unayo au umewahi kuijaribu ? Kiukweli TTCL wapo vizuri huwezi kuifananisha na Halotel kwa sasa ambao mb zinavyokata huwezi kuelewa na kasi taratibu imeanza kufifia
Hao ttcl saizi spidi lazima iwe kubwa maana hawana wateja wengi si mnakumbuka halotel wakati inaanza kila mtu aliisifia saizi majanga tuJamani ttcl 4g ni zaidi ya noma kwenye speed, au connect na fiber ndio utajua mwisho wa maneno...hakika ttcl ni baba lao
TTCL zinashika vizuri kwa cmu zenye uwezo mkubwa wa internet kasi yao wanajitahidi.eeeh mkuu hao Ttcl ndio sitaki wasikia kabisa maana ni matapeli wa kutupwa,nilinunua line yao juzi lakini walichonifanya baada ya mita kadhaa nikaambulia patupu
Mm nilikuwa nanunua kwa Max malipo ila kwa sasa cmu ninayotumia ni line moja nimewaacha kidogo.Sasa mkuu hao ttcl vocha yao mpaka upandie basi?
Wamekata pumzi kama jamaa wa pushup!Wamechoka mapema
Uzoefu maana huna kwa sasa ,acha kisiraniNaongea kwa uzoefu, nimeitumia sana
Ni kweli kwa upande Huduma kwa Wateja kweli ni hovyo sanaHawa wameshakua maboya cku moja niliwapigia nikawauliza kulikoni wakanijibu utumbo cna hamu nao hao
Usije ukaenda Tgo speed ya KobeTuliwapokea vyema na speed ya internet yenu ilitubamba ila kwa sasa naona mmeelemewa na mzigo aisee. Yaani hata Live streaming tu ni shida, tena huu mwezi ndio kabisaaa!!
Kupost tu hii thread, imenichukua 3times retrying. Bora hata nirudi voda kwa wapigaji maana mitandao mingine ndio wababaishaji tu.
