Recent content by talumba

  1. talumba

    Hii miwani (Frame za miwani) Inapatikana Wapi kwa Hapa Dar?

    Zipo nyingi maduka ya miwani jml mtaaa wa naru g'ombe na mchikikichi Nina business card Moja ya maduka hayo
  2. talumba

    Mke wangu amewasha kibatari chumbani kwetu siku ya tano leo hajazima masaa 24

    Yaani hicho kibatari kimewekwa dawa ndani ambayo huenda ile moshi unakupumbaza wewe.dawa Yake ni kumweleza ukweli hapo dawa utakuwa umevunja nguvu
  3. talumba

    Mtangazaji wa Geah Habibu umepata wapi kiburi cha kumkashifu mtumishi wa Mungu?

    Kwanza Geaha hajamkashifu alitakujua MTU mwwenye mapepo utamwambia lia kwa sauti!!kwani anaelewa anachokifanya? Pia utetezi alokuja nao huyo na bio hata haujitoshelezi tuwe wa kweli nabii hakumpanga MTU wake vzri,!
  4. talumba

    Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

    Nape,sidhani kama ni Kweli uliuliza hili swali,maana hapo umesema wanapambana na hali zao,kwa sentence hiyo hili umeligeuza kwa wanachi kwamba hiyo bombedier haiwasaidii Pia wewe mwenyewe ulishiriki meza ya kalamu so unajua A to Z sisi watu wa kawaida ukija na maneno hayo HATUNA jibu !
  5. talumba

    Macho ya Wanaume

    Imebidi nicheke MWe! Haha Sent using Jamii Forums mobile app
  6. talumba

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    Zooouka bambo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. talumba

    Nataka kuja Dar es Salaam, wajuzi wa maeneo nisaidie

    Nakushauri hivi ,hebu jaribu kuwasiliana na ndg zako waliopo Ngara ili wakutafutie ndg ambae yupo Dar ili uweze kufikia kwake ili akupe muongozo wa maisha ya hapa Dar, si dhani ndg wote wa ngara hawana MTU wa karibu hapa Dar hili litakuwa jepesi kwako kuna watu Mwenye Nina nzuri/au mbaya Moyo...
  8. talumba

    Wenye uzoefu: Laki moja inatosha matumizi ya wiki moja?

    Makubwaaa!!! Watu Sana bahati MWe! Laki ni ndogo si Bure kuna mahali anafanya jambo ukija shituka kesho maliza alichokikusudia Sent using Jamii Forums mobile app
  9. talumba

    Njoo Tuambiane Kijiji Chetu Tulichotoka

    Mbamba bay Sent using Jamii Forums mobile app
  10. talumba

    TEMEKE, DAR: Mjane aangua kilio hospitali baada ya kujifungua mapacha 4, asema hawezi kuwalea

    Anasema mumewe alifariki mwaka Jana, Dec, akimwacha yeye mjamzito kwa maelezo nilio soma
  11. talumba

    TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

    Mungu awepe ujasiri wanae, maana aliwajali Sana wanae, Kama Baba muda mwingi akiwa nao, na wamezoea Kuishi na Baba yao, Hakika alikuwa Baba bora kwa family, kinyume na Mama yao. R. I. P
  12. talumba

    Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

    Rpc cjamuelewa, anaposema wananchi walio jeruhiwa wote waende, lengo nini, ashukuru ulie leta hii habar kila nikisoma cna mbavu, Kweli police Wetu wanajeruhiwa mioyo na kuumia kwa Kazi zao
  13. talumba

    Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

    Jamani nimecheka sana, baraka, adhabu yako kubwa, Sana, sio kwa kumuumiza kichwa hivyo Mkuu,
  14. talumba

    Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

    Hahaha, mbavu zangu jamani, do!
  15. talumba

    Kilimanjaro: Hatimae Baraka Malisa amekamatwa

    Haha jamani nimecheka Sana, eti atapelekewa video aione, me!
Back
Top Bottom