Recent content by Tallyi

  1. T

    Wanaume: Mnajizuiaje kutembea na wasichana wa kazi?

    Kufupisha story za cku alizonikomoa..nmeongelea kama tatu tu..
  2. T

    Wanaume: Mnajizuiaje kutembea na wasichana wa kazi?

    Hahaha..ye mwenyewe nmemshindwa..maana sio kwa kutiana umaskini namna hii..
  3. T

    Wanaume: Mnajizuiaje kutembea na wasichana wa kazi?

    Ntajaribu lkn mkuu..ni mtihani.
  4. T

    Wanaume: Mnajizuiaje kutembea na wasichana wa kazi?

    Bas ndio maana..maana adi naanza kukamezea mate wakati nlisema cwez vunja miiko ya kazi yake
  5. T

    Wanaume: Mnajizuiaje kutembea na wasichana wa kazi?

    Nimehangaika siku nyingi sana kutafuta dada wa kazi ambae atanisaidia shughuli za nyumbani ambazo sinaga mda wa kuzifanya ikiwemo kupika na kufua na pasi pia kutokana na shughuli kuwa nyingi. Nafurahi tangu nipate imekua siku kama tatu hivi nakula kwa muda na naondoka mapema maana nakuta maji...
  6. T

    Jinsi ya kuishi kwa amani na mwanamke aliyekuzidi kipato na kuifurahia ndoa

    Kama sio mcheshi..kama hauna kipaji cha kuchekesha..kuishi na mwanamke aliekuzidi kipato ni manyanyaso
  7. T

    Wanawake kuweni waaminifu

    Fungulia uzi mkuu tuusome..tukushauri cha kufanya japo..
  8. T

    Mpenzi wangu hanihudumii wala haniridhishi kimapenzi

    Ukiona hivyo anamadeni taasisi fulani..muulize tu akwambie ukweli..
  9. T

    Nitabaki salama kweli?

    Hiyo ni salama kabisa..sperm fertility haiathiliwi na chochote ata ukiwa unapiga kila cku mara moja..endeleza tu kuliko ukadantie malaya.
  10. T

    Kakuta meseji za msichana mwingine nahisi mapenzi yanakufa

    Uzembe wako umekuulia ndoa..wajanja tunaweka ID ya touch na tunakataza michepuko icpige cm usiku..punguza uzembe cku ingine.
  11. T

    Mke wangu nilishawahi kumwacha talaka moja, naona ya pili inamnyemelea

    Inaonekana una masharti sana mkuu..na una jeuri ya hela..bas na yy pia anajua unachofanya ni kwakua una hela ndio maana unamuamrisha sana..utamuonea tu..nia ya ndoa ni kuishi kwa kushirikiana sio kukomoana..msamehe kama kakosea ingawa cjaona kosa lake mjenge nyumba..msivunje
  12. T

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Nilikuepug naickiaga tu huu mnyama..baada ya test drive haujawahig kunitoka katika ubongo wangu..nakukusanyia ela..imekua dream car na kuusumbua moyo wangu for 4 month nao..
  13. T

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Najua haliwezi kuwa latest version..so you may upgrade that choice..eg forester 2004 to forester 2007 STI..
  14. T

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    That means your driving your dream car...safi mkuu..
  15. T

    Gari la ndoto yako: Ni aina gani ungependa kumiliki?

    Mtu akisema gari la ndoto yake sio lazma awe hana gari..kuna mwengine atataja brevis lets say..unaweza kukuta anatumia vits lakin yupo ktk hatua ya siku aifikie ndoto yake endapo ataimiliki io brevis..na dream car si lazma iwe gari kubwa ya kufikirika..ni gari tu ya matamanio yako.na inaweza...
Back
Top Bottom