KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,129
- 32,821
Habari za muda huu wapendwa,
Bila ya shaka sisi sote kwa namna moja au nyingine ni wahanga wa hili jambo kwenye jamii au ndoa zetu lakini ni wachache sana walio we za kuvuka salama salimini kwenye mtihani huu mambo yafuatayo yanaweza kukusaidia angalau kuishi na amani na mke kipindi ambacho huna kazi au amekuzidi kipato.
1) JIAMINI
Mwanaume asiyejiamini ni udhaifu mkubwa sana mbele ya mwanamke hii humfanya mwanamke asijihisi kuwa yupo salama mbele yako so kujiamini kwako kunamfanya awe na natumaini na wewe.
2) USIBADILI SANA RATIBA ZAKO
Kipindi ambacho huna kazi muda mwingi sana unakuwa idle hii hupelekea mwanamke kukuona kama wewe ni mtu ambaye umeshapoteza natumaini na umeshakata tamaa na maisha kwani huna jitihada tena za kuinuka tena hali hii humvunja moyo mwanamke na kumfanya ajihisi amebeba mzigo nzito sana hali ambayo huzaa msongo wa mawazo inayompelekea awe na hasira muda wote.
3) Mpe haki yake ya ndoa kwa utimilifu.
Umuhimu wa tendo hili unafahamika kwa wanandoa kwani huondoa stress na kufanya mwili kurelax hivyo basi hakikisha purukushani zako za kujikwamua kiuchumi wakati huu kwa kiasi kikubwa zisikuathiri utendaji wako wa chumbani.
4) Msaidie kuvaa asubuhi akitaka kwenda kazini.
Jambo hili humuondolea stress na kumfanya ajione yeye ni wa kipekee na ajione kuwa alifanya uchaguzi sahihi kuolewa na wewe (kumbuka wanawake wanafurahia mambo madogo ambayo kwa macho huwa yanaonekana hayana maana).
5) JIZUIE SANA KUTUMIA HELA YAKE KWA MAMBO YAKO BINAFSI
Nawasilisha
Bila ya shaka sisi sote kwa namna moja au nyingine ni wahanga wa hili jambo kwenye jamii au ndoa zetu lakini ni wachache sana walio we za kuvuka salama salimini kwenye mtihani huu mambo yafuatayo yanaweza kukusaidia angalau kuishi na amani na mke kipindi ambacho huna kazi au amekuzidi kipato.
1) JIAMINI
Mwanaume asiyejiamini ni udhaifu mkubwa sana mbele ya mwanamke hii humfanya mwanamke asijihisi kuwa yupo salama mbele yako so kujiamini kwako kunamfanya awe na natumaini na wewe.
2) USIBADILI SANA RATIBA ZAKO
Kipindi ambacho huna kazi muda mwingi sana unakuwa idle hii hupelekea mwanamke kukuona kama wewe ni mtu ambaye umeshapoteza natumaini na umeshakata tamaa na maisha kwani huna jitihada tena za kuinuka tena hali hii humvunja moyo mwanamke na kumfanya ajihisi amebeba mzigo nzito sana hali ambayo huzaa msongo wa mawazo inayompelekea awe na hasira muda wote.
3) Mpe haki yake ya ndoa kwa utimilifu.
Umuhimu wa tendo hili unafahamika kwa wanandoa kwani huondoa stress na kufanya mwili kurelax hivyo basi hakikisha purukushani zako za kujikwamua kiuchumi wakati huu kwa kiasi kikubwa zisikuathiri utendaji wako wa chumbani.
4) Msaidie kuvaa asubuhi akitaka kwenda kazini.
Jambo hili humuondolea stress na kumfanya ajione yeye ni wa kipekee na ajione kuwa alifanya uchaguzi sahihi kuolewa na wewe (kumbuka wanawake wanafurahia mambo madogo ambayo kwa macho huwa yanaonekana hayana maana).
5) JIZUIE SANA KUTUMIA HELA YAKE KWA MAMBO YAKO BINAFSI
Nawasilisha