Recent content by tallLady

  1. T

    Mapenzi yanauma jamani

    Vyuo c vimefunguliwa lakini!???.. Au ww mjasiriamali???
  2. T

    Kesho mshahara, nimemuomba nimtoe out Serena Hotel, kakubali

    Hahahahahah uuuuii we madame ww...lol
  3. T

    Kumsomesha mke wako chuo

    Mkuu...una mama mzazi hapa duniani na ndugu wa kike,auu!????
  4. T

    Sifurahii kuwa 'single woman', sijui nifanyeje

    ...ili iweje labda!?ndio atakuoa au??!kwa Hilo ndio hapo wanapokuwa single mothers bila msaada wowote,.wakati wa Mungu upo ila tuu binadamu tunakuwa na haraka zetu,hebu tujikabidhi kwa Mungu na kila jambo litafanyika kwa wakati..."kumtumikia Mungu kuna faida"siku zote.
  5. T

    Ushauri: Matisho ya mpenzi wangu

    Hahshaaa huyu atakuwa team leader tuu wa ma freelancer wa Tigo mtama/Lindi
  6. T

    Nitampata wapi Delila wangu?

    Here I am...ila ni mrefu naweza kuwa nimekupita
  7. T

    Bora mwanaume wa kibongo kuliko mwanaume mkenya

    Shogaa;mwenywe macho haambiwi tizama,na mwenywe masikio kusikia.....mpaka kwa hali hiyo maamuzi unayo ww mwenywe!!!!
  8. T

    Uaminifu kwa mwanamke

    Kwa uandishi wako huo,Hata mm nisingekuamini.
  9. T

    Ukiumizwa usikubali kuua thamani yako

    Well said!!!!glory to Almighty
  10. T

    Kwa wanawake wapweke tu

    Lovely tour
  11. T

    Kwa wanawake wapweke tu

    Mmmmh,,,,..cjui niku PM!???
  12. T

    Lazaro Nyalandu na Aunt Ezekiel Wachanwa Bungeni!!!

    Kama kwelii alikuwa anatangaza utalii wa Tanzania kwann asingeenda na mkewe tena aliyetwaa taji la umiss wa nchi hii,.lol walikuwa wanatangaza yao....kumuudhi tuu faraja wa watu,..mxieww!!!!
  13. T

    Kiswahili chenye lafudhi yenye mvuto

    Haswaaa!!! Kitam saana
  14. T

    Jina Jonathan

    Hilo ni jina la ki-hebrania (Jehovah has given or Jehovah's gift) likiwa na Maana hiyo mkuu..
Back
Top Bottom