...ili iweje labda!?ndio atakuoa au??!kwa Hilo ndio hapo wanapokuwa single mothers bila msaada wowote,.wakati wa Mungu upo ila tuu binadamu tunakuwa na haraka zetu,hebu tujikabidhi kwa Mungu na kila jambo litafanyika kwa wakati..."kumtumikia Mungu kuna faida"siku zote.
Kama kwelii alikuwa anatangaza utalii wa Tanzania kwann asingeenda na mkewe tena aliyetwaa taji la umiss wa nchi hii,.lol walikuwa wanatangaza yao....kumuudhi tuu faraja wa watu,..mxieww!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.