Kila jambo na wakati wake...kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka...wakati wa furaha na wakati wa kuomboleza...wakati wa kuingia na wakati wa kutoka...wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa...wakati wa kuajiriwa na kutoajiriwa....Hivyo vyote ni ubatili mtupu kwa maana kila jambo litapita!
Kuna wakati Real Madrid ilikuwa na mastaa wengi sn km ronaldo de lima,zidane,louis figo,david bekham na roberto carlos...lkn Madrid walikuwa wanafungwa kuliko wakati wowote ule...hapa kwetu viongozi wa awamu hii wengi wao ni maprof na madokta kwny cabinet, lkn mchango wao kwny maisha ya watu ni F!
Kuna wakati Real Madrid ilikuwa na mastaa wengi sn km ronaldo de lima,zidane,louis figo,david bekham na roberto carlos...lkn Madrid walikuwa wanafungwa kuliko wakati wowote ule...hapa kwetu viongozi wa awamu hii wengi wao ni maprof na madokta kwny cabinet, lkn mchango wao kwny maisha ya watu ni F!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.