Wengine ni wale wa miradi ya mda mfupi bila shaka hawa hawahusiki kwa termination.maana kuna NGO za miaka mitatu au minne znaisha hapa termination inaingiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Enrique upo sawa. Chabusalu na uhakika hakuna anayeibiwa kwa issue ya mikopo.unachojaza ndicho kinachofanyiwa kaz na kutoa majibu kama unastahili kupata mkpo au hustahili
du mi nimejaza form yao wakanipigia kwamba wameaprove mkopo wangu wa 5milion nilioomba lakin mpaka nideposit 45000 thousand watanitumia lakin nikaanza kujihoji maana mhhhhh,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.