Mimiwikolo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 218
- 19
- Thread starter
- #21
Mmmm... Wewe ulitakaje kwani?Nina jirani yangu mmoja hapa Ana sifa zote izo unazohitaji vp nikikuunganisha nae mim ntapata nin toka kwako?
Mmmm... Wewe ulitakaje kwani?Nina jirani yangu mmoja hapa Ana sifa zote izo unazohitaji vp nikikuunganisha nae mim ntapata nin toka kwako?
Ndo maana Carolite ilikua tatizo kufutika!hivi kwa nn hampendi wanawake weusi kila anaetafuta mke kigezo cha rangi maji ya kunde au mweupe lazima kiwepo
MbesaMmmm... Wewe ulitakaje kwani?
??!..Mbesa
Karibu gym shosti!!!huu unene unanikosesha mengi
rangi tu ? tumia zoa zoaKaribu gym shosti!!!
Wengine rangi zinatukosesha
Alafu wangejua kua wanawake weupe original ni wachache sana... Asilimia 80 ni mikorogo!!! Kuna mdada jamani alizaliwa mweupeee lakini hajaridhika na bado kajikoboa zaidihivi kwa nn hampendi wanawake weusi kila anaetafuta mke kigezo cha rangi maji ya kunde au mweupe lazima kiwepo
Ni kama virginity... I can be like them if i want but they can never be like me... Ever again!King'aacho ndio mpango mzima, ndio maana siku hizi KE wanaojichubua au wapaka mkorogo wameongezeka maradufu kutokana na hilo
Mkuu huku singida at least watumia mikorogo wachache maana huku natural colour( white) ni wengiNi kama virginity... I can be like them if i want but they can never be like me... Ever again!
Ata hao weupe wanahangaika kujichubuaMkuu huku singida at least watumia mikorogo wachache maana huku natural colour( white) ni wengi
Ni kwel yaani wanaboa kwel unakuta mdada mzuri tu with her natural colour white bado anajilipua na mikorogo hadi anaharibu sura yake sijui huwa wanataka nn?Ata hao weupe wanahangaika kujichubua
Ni kwel yaani wanaboa kwel unakuta mdada mzuri tu with her natural colour white bado anajilipua na mikorogo hadi anaharibu sura yake sijui huwa wanataka nn?
Kwa hali hii namshukuru mungu kwa kuzaliwa mweupe pia inabidi nioe mke homozygous white ili endapo nikapata vibinti visije kuhangaika namna hiyoView attachment 488553
Eti huyu nae alikua mweusi kama paprika hapa!!!
Saivi anatengeneza mkorogo wake!!!
Labda kabla hujaoa fuatilia hadi picha za utotoni!!! Sasaivi michubuko ipo so advanced ni ngumu kujua!!! Yaani mimi wala sitamani weupe... Sijui kwanini!!! Ndo mana niko radhi kupaka mafuta ya kupikia kama sielewi lotion ina ingredients ganiKwa hali hii namshukuru mungu kwa kuzaliwa mweupe pia inabidi nioe mke homozygous white ili endapo nikapata vibinti visije kuhangaika namna hiyo
Mkuu huku kwetu colour unakuta ni ya ukoo mzm not one family member, hapo ndio utashtukia mikorogo. Na kwa kuwa nimekulia maeneo yenye pure homozygous white nawajua vzr wa mikorogo wabaki nayo tuLabda kabla hujaoa fuatilia hadi picha za utotoni!!! Sasaivi michubuko ipo so advanced ni ngumu kujua!!! Yaani mimi wala sitamani weupe... Sijui kwanini!!! Ndo mana niko radhi kupaka mafuta ya kupikia kama sielewi lotion ina ingredients gani