Recent content by Tajiri wa upendo OG

  1. Tajiri wa upendo OG

    Naogopa atanizalia watoto waislam

    We miso misondo umepigaje apo..??
  2. Tajiri wa upendo OG

    Kilimo kinalipa kama ukikifanya kama kazi

    Apo kwa Ekari 3 mifuko 7 sio kweli, Ekari Moja ya mahindi inachukua mifuko 4 hadi 5
  3. Tajiri wa upendo OG

    Nimepata aibu kubwa ukweni

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Tajiri wa upendo OG

    Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

    Naww kwann umpe pesa yote hiya angali ndani kuna vitu vote.?
  5. Tajiri wa upendo OG

    Kuanzisha biashara ni jambo gumu sana kuliko kutafuta ajira

    Ongeza maarifa kaka, inaonekana maarifa yako yamefikia kikomo
  6. Tajiri wa upendo OG

    Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

    Msimu uliopita Mosses Phiri mechi nyingi amecheza kama no 9
  7. Tajiri wa upendo OG

    Kweli uchawi upo Duniani Baleke sio wakumuweka Bench Mosses Phiri

    Licha ya magoli ambayo Jean Baleke amefunga msimu uliopita katika premier league kiuchezaji Mosses Phiri ni mchezaji wa class ya juu zaid kuliko Baleke, Sijui kwanini kocha hataki kumuamin huyu mwamba (Phiri) labda uwanja wa mazoezi hamshawishi kocha lakini sisi mashabiki wa Simba balaa la huyu...
  8. Tajiri wa upendo OG

    Nimeamua kuachana na Jiji la Dar, nazifuata fursa Mtwara/Lindi

    Mwambie bora aende Mtwara mana Masasi ipo mtwara
  9. Tajiri wa upendo OG

    Benki ya CRDB kusimamia Mfuko wa Faida Fund unaoendeshwa na Watumishi Housing

    Tayr nimewekeza, tuje wengi tuwekeze huku mana vipande vyao vinapanda bei kila siku anaehitaji kujuzwa zaid kuhusu mfuko huu anichek nimjulishe for free kbsa hii ni fursa kwa vijana
  10. Tajiri wa upendo OG

    Mapenzi yananitesa sana

    Post kwnza sura yako tuone tatzo lipo wapi
Back
Top Bottom