Licha ya magoli ambayo Jean Baleke amefunga msimu uliopita katika premier league kiuchezaji Mosses Phiri ni mchezaji wa class ya juu zaid kuliko Baleke, Sijui kwanini kocha hataki kumuamin huyu mwamba (Phiri) labda uwanja wa mazoezi hamshawishi kocha lakini sisi mashabiki wa Simba balaa la huyu...
Tayr nimewekeza, tuje wengi tuwekeze huku mana vipande vyao vinapanda bei kila siku anaehitaji kujuzwa zaid kuhusu mfuko huu anichek nimjulishe for free kbsa hii ni fursa kwa vijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.