Habari Mpya Kutoka Sirione company Limited, Tunajihusisha na kuuza, kusambaza , kufunga na kutengeneza air conditioner, coldrooms na chiller, Nunua kwetu air conditioner na uufungiwe Buree kabisa
Gree 9000 btu split unit 850,000 free installation
Gree 12000btu split unit 950,000 free...
Serekali ina intelijensia ya hali ya juu kama wanavyojinadi tulitegemea kupata majibu kutoka kwao nani muuwaji hapa hatuangalii rangi ya nguo tunaangalia adui anayetuangamiza
Wakanushe ila tunasubiria majibi ya mkuu wa nchi kama waziri anafikia kutoa kauli za taifa kutenda ukatili hadharan na hamjatoa kwanini tusiamini mauaji yote yanayotekea kuwa ni serekali inafanya?
Tuishi kwa misingi ya katiba sheria na haki za binaadamu
Mi najiuliza bint aliyeuwawa na polis...
Habari wanajamvi nimekaa nikawaza sana huyu kamanda wa tanzania mpya katiba ya wananchi Deusi Kibamba amepotelea wapi? kibamba Jitokeze muda wa majeruhi tupate Tanzania mpya
Project hiyo imelenga kuwasaidia wajasiria mali wa maeneo hayo tu ila sina majibu ya kujitosheleza kuhusu hilo maana mimi biashara yangu ipo kariakoo kwa maswali muulizeni huyo jamaa wa stanbic bank
STANBIC Bank (Tanzania) has started to issue unsecured loans to Small and Medium Enterprises (SMEs).
Tanzania is the fourth African country, after Kenya, Ghana and South Africa to start receiving such loans under Stanbic's innovative ideas.
And, since the scheme was introduced in the market...
Ndugu zangu watanzania wenye biashara maeneo ya kariakoo, mwenge, tandika na ubungo kama una biashara ambayo imesajiliwa na unahitaji mkopo usihangaike wasiliana na huyu mtu 0713 691620 anatoa mkopo laki tano hadi million 30 anahitaji tin number,business licence,national identification(pasport...
Niliongea na hawa jamaa wa Efulus waliniambia inawezekana ila nadhani kuna sheria inawabana wanasema mambo ya social work, majanga na matukio fulani wanafanya ila biashara na siasa ni Hiari ya mtu niliachia hapo baada ya kupata usumbufu anyway we nenda voda au zantel ni waelewa sana ila tigo na...
ninachojua mimi ni unasajili short cord yako yaaan 157777 mfano kutoka tcra then number ile unaenda kwa kampuni ambayo watahold hiyo number kwa kutumia server mfano maxmalipo,efulus then utaingia mkataba na makampuni ya simu kama ni tigo, voda n.k juu ya malipo ya hizo sms then unatangaza watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.