Ujumbe wa kwenye hiyo picha unamaanisha km umekosea menyu ya kujiunga na sio kuongeza salio.. mfano kujiunga *148*66# ww ukaweka *148*55# wakati laini yako sio ya chuo...
Barring inasetiwa kwenye mtandao sio simu... naamaanisha hata akiitoa hiyo laini na kuiweka kwenye simu nyingine tatizo bado litakuwepo.. rahisi ni kuwasiliana na mhudumu kwa wateja kwani inawezekana kaweka yeye kwa makusudiau au bila kusudi au kazuiliwa na mtowa huduma wake
Ndegeputo na sio ya ndege angani msingi wa jina ni ile hali ya kuelea km meli au puto pia ndio kinachotofautisha kati ya ndege za kawaida ' aeroplane' na airship ingawa zote ni aircraft..
miaka miwili na nusu bila kushiriki tendo la ndoa si ni TALAKA tayari? anaweza fanya mambo mengine hata kuolewa...
au unamaanisha unattaka msaada wa kugawana mali? waliyochuma?....
MKATABA M100 ya kwako laki saba, 99.3m wanachukua wazee wa fursa (watu wa kati) hii pia husababisha wasanii wanaojielewa kukacha matangazo hayo munayoyalilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.