Today, we're going to delve into the fascinating history of the Yanghzou slogan and its profound lessons. Join me as we journey back in time and uncover the significance of this ancient wisdom.
Historical Context
Nearly 2500 years ago, leaders, often referred to as "elders," in the city of...
Jeshi la Polisi wilaya ya Kibiti limemkamata Rashid Mkinga (36) kwa tuhuma za kutengeneza Vyeti feki vya kuzaliwa. Tukio hilo lililotokea Januari 15, 2024 majira ya saa 1 usiku katika Kitongoji cha Kibiti B, Kata na Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani.
Katika mahojiano ya awali yaliyofanywa na Jeshi...
Mwaka huu 2023 Mwezi Machi 05, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikabidhi hati ya kiwanja chenye ukubwa wa hekari 125 kilichopo eneo la Kisongo Arusha kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwajili ya ujenzi wa Kituo kikubwa cha Diplomasia Afrika.
Hii inaishara kwamba Tanzania inakuwa kitovu...
Tangu Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani mahusiano ya nchi ya Tanzania na nchi nyingine Duniani yameongezeka maradufu, kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la viongozi mbalimbali wa nchi duniani kuja Tanzania kwajili ya ziara za kitaifa yote yakichagizwa na juhudi za Mhe. Rais Dkt...
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
VIDEO:
Leo ni kilele cha sherehe na maenesho ya
Kimataifa ya wakulima Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.
Tazama picha na matukio mbalimbali yanayofanywa na Mgeni rasmi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Sent using Jamii Forums...
Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya watu wamekuwa wakihoji PODIUM anayotumia Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan kwamba (haijakamilika) yaani haina Bibi na Bwana pamoja na Mlima Kilimanjaro kama ilivyo kwenye Nembo ya Taifa.
UFAFANUZI:
Ukiona 'Podium' yenye nembo inayoonekana hapo chini, jua...
Kwa Mujibu wa mtandao wa GlobalPetrolPrices.com unaotoa takwimu za Bei za Mafuta kote Duniani, tarehe 4 Agosti ilitoa Orodha ya Nchi Kumi za Afrika zenye bei kubwa ya Mafuta ya Nishati ambapo baadhi yake zinauza juu ya Wastani wa Bei za Dunia na nyingine zikiuza sawa na bei ya wastani na Bei ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Simba Agosti 6, 2023 yatakayofanyika katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar Es Salaam.
Serikali imetangaza kuanza Ukarabati wa Uwanja wa Taifa "Uwanja wa Mkapa" kwa gharama ya Tshs. Bilioni 30. Uwanja huo haujakarabatiwa kwa miaka 16 tangu uzinduliwe mwaka 2007.
Chanzo kimeeleza kuwa, Marekebisho makubwa yamepangwa kufanyika ikiwemo kubadilisha viti vyote, kubadilisha mifumo ya...
Na:- Diplomatic Agent
Ni heshima kubwa kwa Taifa la Tanzania, Taifa la Kidemokrasia na lililojipambunua vyema katika masuala Diplomasia Kimataiafa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za zaidi ya 30 za Afrika utakaofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC)...
Michezo ni moja ya sanaa inayokuwa kwa kasi kubwa nchini Tanzania, katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mijadala mkubwa juu ya masuala mbalimbali yanayoingusa tasnia hiyo kutoka kwa wapenzi na mashabiki wa soka [emoji460]️.
Leo tunakusogezea Jezi Mpya za baadhi ya Vilabu vya Soka Tanzania...
Kamishna Jenerali Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCEA), Aretas Lyimo ametoa onyo kali kwa viongozi wa ngazi ya halmashauri watakaobanika kutochukua hatua stahiki kuhusiana na kilimo cha mirungi, na kusema kuwa watachukuliwa hatua za kisheria bila kujali nafasi zao.
Kamishna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.