Recent content by Tahariri yenye Taharuri

  1. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    JE ULAYA BADO NI STAARABU YA KIKRISTO? Europe ‘A Christian civilization: Is it still so? Na Fatima Binti Hemedi Maswali mazito huchukia majibu mepesi! Inafkia mahali mtu unahoji, hivi ukiristo bado ni dini hai kweli? Imesemwa na ni halisi kabisa kwamba Uislamu utapiku Ukiristo idadi ya waumini...
  2. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Fanta nimefurahi kukuona mwanangu Make unapotea mno. David Livingstone David Livingstone aliañdika yafuatayo kuhusu biashara ya utumwa: Kuondoa uovu wake ni jambo lisilowezekana .... Tumepita maiti ya mwanamke mtumwa amepigwa Kisu na amelala kwenye njia. [Watazamaji] walisema mwarabu...
  3. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Allah Yahweh, Jehova, Yesu, Ibrahim, Isaka. yakobo, Emmanueli, too much, Mungu si myahudi Kwa maana ya dhana, uungu ulikuwepo toka enzi na enzi....iweje myahudi atuletee kamusi??? Napita tu Samahani. Binti hemedi, nakuelewa swadakta
  4. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Kuna ndivyo tulivyo, na vile tulivyofanywa tulivyo, kipande cha pili ndio cha kuhusu Ndugu, haya ni matokeo Ndugu. Si chanzo chetu
  5. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Hatukani kuwepo kwa Mungu Bali msamiati wa kiyahudi kumuhusu
  6. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Swali zuri Je ulidhani ni ukweli ule? We kwa upeo wako wa kufikiri kawaida kabisa, yaani common sense? Nyoka wanaongea, punda wanaongea, watu 400 wanapuyanga jangwani kwa miaka 40? Mwisho unaambiwa mungu kamzalisha bikira wa kiyahudi, na unakubali pia!!!!!!!! Na sasa unamsubiri Huyo muheshimiwa...
  7. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Ndio Mimi naafiki kabisa Na dhambi kuu kuliko zote ni ujinga
  8. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Naomba hadithi zibakie kuwa hadithi. Na matukio thabiti ya kihistoria vivyo hivyo
  9. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Pia Karl Marx alisema anaipuuza miungu yote ya juu na chini, isiyo tambua ufahamu wa binadamu ndio uungu mkuu kuliko yote
  10. Tahariri yenye Taharuri

    Dr.Ben Jochannan: Mtu Mweusi,Amka

    Irrelevant Kunatofauti Kati ya fact na fiction Religious fiction and history Wakati ambapo adamu na hawa ni ngano ya kidini, Hippocrates, Socrates, Plato, imhotep, mkwawa, kimweri, Shaka Zulu ni historical facts Kwa maana nyingine, biblia si historia, twende sawa
  11. Tahariri yenye Taharuri

    Miaka 35 huna familia, gari, nyumba wala mashamba... Unategemea miujiza gani kutoka Mbinguni?

    Haituhusu, ila tuna amini kwa mujibu wa umri Inafkia mahali mja wapend na ni bora kuwa na Uhuru binafsi na faragha yako Nadhani ni utaratibu wa maumbile Hata makinda ya ndege pia huondoka zao na kuanzisha maisha yao
  12. Tahariri yenye Taharuri

    Miaka 35 huna familia, gari, nyumba wala mashamba... Unategemea miujiza gani kutoka Mbinguni?

    Pia mi nadhani kunaweza kuwa na mgawanyo maridhawa zaidi wa mali, kusiwepo asiye nacho kabisa, wazungumzia gari na nyumba, kuna watu hawajui jioni hii anakula wapi Israel, Libya nk watu wanapewa kiinua mgongo cha kujikimu, pia kuna utaratibu wa nyumba za bei nafuu Serikali, viongozi, siasa na...
Back
Top Bottom