NI SAWA NA HII KULIKUWA NA TAJIRI MWEUSI ALIAJIRI WATU WEUPE KWENYE IDARA NYETI YA FEDHA ,WALIKUWA WENGI TU , LAKINI WALINZI WA GETIN WOTE WALIKUWA WEUSI SASA ,MIONGONI MWA WALE WEUPE WOTE WALIKUJA TAJIRIKA NA KUFUNGUA MIRADI YAO HUKU YULE MWEUSI AKIFIRISKA ,LAKINI WEUPE HAWA KAMWE HAWAKUAJIRI...
MHESHIMIWA WAZIRI MABASI KUMI HAYATOSHI,HARAFU HAWA JAMAA IKIFIKA SAA NNE WANAPUNGUZA MABASI MENGI SANA HALI INAYOSABABISHA USAFIRI KUENDELEA KUWA NGUMU
mm hata sielewi waliobuni mradi huu walikuwa wanafocus miaka mingapi mbele ! Anyway kwa kusema kweli kabisa hawa watalaam kwa wakati huo wlipokuwa wakibuni mradi huo sijui mwaka gani walikuwa nyuma miaka 30 ndio kinachotugharimu sasa hivi. ukiangalia hata flyover ya mfugale pale tzr itaaleta...
acheni utafiti wenu uchwara hivi kuna sehemu ambapo ukifanya bargain kama hizo ukakosa kila sehenu wanawake wanajiuza kuanzia maofisini, sokoni, kwenye daladala ,kila sehemu hata mitaani hakuna jipya hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.