Hello
Office ya kupangisha kwa ajili ya shughuli za kampuni inahitajika. Ofisi inatakiwa kuwa na vigezo vifuatavyo
-ukubwa usiopungua 10m^2
-iwe maeneo Dar es salaam, ila kwa ufasaha zaidi Sinza, Kinondoni, Msasani, Mikocheni, Survey, Ubungo
-bei yake iwe halisi na eneo lenyewe
-iwe nzuri...