Recent content by Tafakari Jadidi

  1. T

    JamiiForums Tanzania Msaada:Nimekosa choo kwa muda siku tano nitumie dawa gani?

    Kula mbogamboga, maparachichi, mapapai na maembe kwa wingi
  2. T

    JamiiForums Tanzania China yakanusha kuipeleleza AU

    Huyo alotoa ripoti aliipataje bila kupeleleza?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini Majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yakiwa chini ya Watu wa Mara yanakuwa Imara na Kabambe?

    Labda mtoa mada atuambie ni kipindi gani vyombo hivyo viliwahi kukosa mafanikio
  4. T

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya anafanya biashara gani hadi aendeshe magari ya kifahari? Mwenyewe amejibu..

    Tuambie afanya biashara gani? Mtaji alipata wapi? Je biashara hizo zaendeshwa kwa kufuata sheria? Umesema kumbi za disco zafungwa saa 6 nakwambia hizo zinazofungwa hivyo sio kumbi rasmi. Kumbi rasmi zina leseni ya kukesha na zina viwambo vya kunyonya sauti
  5. T

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu atapata kura nyingi lakini Mtulia atatangazwa mshindi

    Katika hivyo vyama kuna kimoja yabidi umpe mwenyekiti mgao kila upatapo mshahara au poshp
  6. T

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu atapata kura nyingi lakini Mtulia atatangazwa mshindi

    [emoji28] Tena jina la chama lawashitaki pia
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utupu wa William Malecela: Je, tunaweza kuwaza tofauti?

    Nawaza tu kwa sauti. Nawasha taa mchana kwa vile yawezekana kuna watu hawaoni japo wana macho yalo timamu lakini hawaoni kwa fikra zao
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utupu wa William Malecela: Je, tunaweza kuwaza tofauti?

    Umeona wapi gari liloisha betrii likibustiwa na gari liloisha betrii. Kama huyu binti hakubakwa jambo alotenda ni la kifedhuli, alipenda jibaba kwa tamaa zake kama lilivo jibaba hili. Sasa kama yeye anayo kubwa kuliko umri wake asitafute kiki ya kujitetea na bahari yake. [emoji12] [emoji12]
  9. T

    JamiiForums Tanzania Fukuto linaloendea Iran, linadhihirisha kuwa US na Israel siyo wa mchezo mchezo. Tanzania nini cha kujifunza?

    Nani kakudanganya kuwa Iran mambo yako shwari? Yangekuwa shwari Rais wao angezilalamikia USA na Saudia kuwa zinachochea vurugu?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Fukuto linaloendea Iran, linadhihirisha kuwa US na Israel siyo wa mchezo mchezo. Tanzania nini cha kujifunza?

    Mwosha huoshwa. Iran wenyewe wanafadhili migogoro kwenye nchi nyingibe mfano Saudia. Wamewekeza zaidi kufadhili vikundi nje kuliko ndani
  11. T

    JamiiForums Tanzania Nape: Hamahama ni aibu hata kwa CCM. Wanaopigania vyama wathaminiwe

    Wanachama wa vyama vya siasa kwa kawaida ni wachache, kusema ukatae wanaohama hakuna mashiko. Acha watu wahame vyama vijifunze kuheshimu wanachama wake
  12. T

    JamiiForums Tanzania Makanisa mpunguze michango jamani. Hasa RC, kuna nini siku hizi?

    Kaka pole sana. Lakini kwani lazima utoe yote? Jambo hili si ungelifikisha kwenye baraza la walei kama umelazimishwa? Je umeshatafiti makanisa mengine ina michango gani? Kwa kadri ya ufahamu wangu michango ya RC ni midogo sana na mingi ni ya hiyari. Mfano bahasha ya Zawadi kwa mtoto yesu unaweka...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Waislamu tuko upande wa Rais! Ya Kakobe mpelekeeni Kaisari

    Kwani Kakobe kaleta nini kama sio udini?
Back
Top Bottom