Bepari la bariadi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 420
- 673
- Thread starter
- #141
Usicheke braza kuna viumbe vya kuhurumia
Usicheke braza kuna viumbe vya kuhurumia
Fuatilia vyombo vya habari nduguacha uongo Iran mambo yako shwari usidanganywe na vyombo vya habari vya Ulaya BBC, CNN, ALJAZEERA wote ni waongo wakubwa
Huku kujifanya kiranja kunaigalimu US mabilioni ya pesa...na ndo maana sera ya Trump ni usawa katika kuchangia masuala mbalimbali..kuna watu US wanashida za kutosha tu..Can't imagine the world without USA how would it be!
Hii dunia kusingekuwa na chombo cha kudhibiti nchi ndogo ndogo hizi ingekuwa ni ya kishenzi na ukatili wa kutisha.
Kuwepo kwa USA km kiranja mkuu wa dunia kunafanya nchi nyingine ziwe na ustaarabu unaotakiwa.
Hatari sana kwa ubishiUsicheke braza kuna viumbe vya kuhurumia
Hivyo vyombo vingine sawa lakin sio Aljazeeraacha uongo Iran mambo yako shwari usidanganywe na vyombo vya habari vya Ulaya BBC, CNN, ALJAZEERA wote ni waongo wakubwa
mwanamke kazi yake ni kupika na kuosha vyombo aendeshe gari kwenda wapi?....ndio maana wake zenu wanaliwa sana makazini na mabosi kwa kujifanya haki sawa
Mkuu umesahau kumtaja na crown prince MBS wa Saudia naye atakuwemo katika fitinahiyo.
Mwosha huoshwa. Iran wenyewe wanafadhili migogoro kwenye nchi nyingibe mfano Saudia. Wamewekeza zaidi kufadhili vikundi nje kuliko ndaniNidhahiri shahiri kwamba maandamano yanayo endelea huko Iran, ambayo hata kinara wa maandamano hayo hajulika kwa kile wanacho dai ni kutokana na kupanda gharama za bidhaa, ukata wa mfukoni kunako sababishwa zaidi na vikwazo vya hawa ndugu wawili USA na pacha wake ISRAEL,
Nakile kinachodai kuwa serikali ya Tehran kutumia bajeti kubwa zaidi kwenye masuala ya nje na kuwasahau raia wa ndani (japo hii ni geresha tu).hivyo basi kupelekea maandamano makubwa zaidi na ya fujo huku waandamanaji wakibadili gia angani na kutaka kiongozi mkuu wa kidini ayatollah heminei atoke huku akina mama wakivua hijab zao.wakidai usawa dhidi ya sheria ngumu na kali za kiislamu katika taifa hilo lenye nguvu mashariki ya kati.
Je ni kweli mzungu akikuamlia huwezitoboa? Na kama ndivyo je nini kifanyike ili kuwe na usawa katika ulimwengu huu? Toa maoni yako bila povu.
By Bepari la Bariadi
Nani kakudanganya kuwa Iran mambo yako shwari? Yangekuwa shwari Rais wao angezilalamikia USA na Saudia kuwa zinachochea vurugu?acha uongo Iran mambo yako shwari usidanganywe na vyombo vya habari vya Ulaya BBC, CNN, ALJAZEERA wote ni waongo wakubwa
Hakuna tofauti na yule maskini aliepata nafasi ya kuomba chochote lkn mwisho akajikuta akiomba Kichwa cha kuku! Ukiwa mzalendo kweli ni lazima uitakie nchi yako Mema, Rais ndiyo KICHWA CHA NCHI, hivyo ukitaka aguswe maana yake mwili mzima ndio utaathika na hatimae kupoteza mwekekeo, ungejua kinachotokea sirya tangu baadhi ya watu walivyo mkataa Rais bila utaratibu ungejutia mawazo yako!
Mimi nadhani Magufuli yuko sahihi sana ktk mambo mengi , ninampongeza kabisa kwa utendaji uliotukuka...
Kweli kabisa inabid watu wasome...tatzo kubwa jamii forum imevamiwa na watu wa facebook.......OSAMA-SUNNI .....AYATOLLAH-SHIA....wap na wap hii?
Tujitahid kusoma guyz.....ufaham wetu katka maswala ya Ulimwengu umepotea kabsa
Sijawahi kukutana na mtu pumbavu dunia kama wewe tokea nizaliwe.
Unaijua ALJAZEERA au ndiyo ume google leo
Syria mbona wameishindwa .?
acha uongo Iran mambo yako shwari usidanganywe na vyombo vya habari vya Ulaya BBC, CNN, ALJAZEERA wote ni waongo wakubwa