Natumaini mamlaka wataliangalia hili kwa makini kwa maaana jiji la Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa na ukuaji nchini kwetu hivyo linapaswa kuwa na miundombinu bora.
Habari zenu wanaJF, natumaini nyote mnaendelea na pirika za kila siku kwa ajili ya familia na ujenzi wa taifa.
Twende kwenye hoja yangu direct! Swali langu ni kwamba "Ni lini serikali itapanua barabara hizi muhimu zinazounganisha Mwanza mjini na maeneo kuanzia Usagara hadi mjini kati na Kisesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.