Recent content by Taeyong

  1. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto katika mfumo wa ajira jeshi la Zimamoto

    Daah ukifanikiwa nijuzee maana nakutana na changamoto kama yako.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Changamoto katika mfumo wa ajira jeshi la Zimamoto

    vipi umefanikiwa au bado inakugomea bado?
  3. T

    JamiiForums Tanzania Nimepata nafasi ya kujitolea miezi minne. Je, nichukue fursa au niachane nayo?

    Nakushauri jitolee utakua umeongeza kitu kwenye CV yako, ila fursa za ajira zikitoka usiache kujaribu bahati yako.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Career gani bora upande wa Information Technology?

    Unaweza coding? If yes komaa nazo sana uwe programmer. Binafsi nina plan kuspeciliaze na. Networking. Nimegraduate last year.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimepata kazi kupitia JF

    Hongera mkuu.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Majina ya kuitwa kwenye usaili TAKUKURU yametoka

    Ni usaili wa mandishi. Yaani mnapewa km mtihani mnafanya kisha mnakusanya wanasahisha, watakaofanya vzr wanaitwa usaili wa mdomo (oral interview).
  7. T

    JamiiForums Tanzania Fangasi sugu sehemu za siri

    Sh ngp inauzwa!?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupoteza usikivu linasababishwa na nini?

    Dah Pole sana. Binafsi nina tatizo kama lako.
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

    😭😭😭😭 Dah huu Uzi unanihusu 💔💔 Miaka 3 ya degree bila demu chuo na kifupi ata kupiga 🍆 hata mmoja haikuwezekana.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Wadau TPCSS 5 ni sawa na sh ngapi? (Posta)
  11. T

    JamiiForums Tanzania Internship millioni kumi (10,050,146.26) per month

    Shukran
  12. T

    JamiiForums Tanzania Internship millioni kumi (10,050,146.26) per month

    Moja ya vigezo ni: The applicant must be a national CERN Member or a CERN Associate Member State. Kindly fafanua kdg hiki kigezo.
  13. T

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu hizi nafasi za kazi za muda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

    Sijawahi kua apply mkuu. Kwa faida ya wengine pdf hili hapa.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Unataka kuacha tabia fulani? Basi ifanye to the maximum

    😂😂💔 muue
Back
Top Bottom