Recent content by Taahira

  1. Taahira

    January makamba ndani ya ala za roho ya clouds

    Mimi ni taahira, ndio nilivyozaliwa. Nikionekana nina uwezo wa akili, huwa natabasamu na kufarijika sana moyoni. Hiyo ni picha yangu ya kweli, nilipigwa nikiwa na furaha pale wenye akili waliponisifia nimeongea point.
  2. Taahira

    Dawa za kurefusha na kunenepesha uume na njia mbadala

    Hivi kwanini yangu ndogo lakini naambiwa naleta burudani? au ndio utaahira wangu huu kumbe nachekwa? Halafu wewe madame, usimchuze mwenzako na hiyo 6 by 6. Ndude ndogo zinahitaji mkandamizwaji alale kwenye surface ngumu ili asibonyee kwenye godoro anapo bonyezwa.
  3. Taahira

    January makamba ndani ya ala za roho ya clouds

    Hivi kwanini Nape hamshughulikii huyu? Maana mzee wake ndiye aliyeua CCM Kigoma miaka ya tisini, akiwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, na kuwainua kina Kaburu wa NCCR ambao nguvu yao ndio imezaa zitto na kafulila. Alifanya ufisadi kwa kumweka muindi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, na kanjubai...
  4. Taahira

    January makamba ndani ya ala za roho ya clouds

    Hivi kwanini huyu kijana anakuwa kama vile ana utaahira kama mimi? Nini hasa kinampelekea kuwa na tabia hii? Ushamba? Ush...? Au ni debe tupu analojaribu kulijaza maji? Mbona mwenzake Nape hana tabia hizi? Yani mtu kama Nape akitokea kwenye TV au Radio, hata kama ataongea pumba, wengi...
  5. Taahira

    Political Assassins: Why TZ Politicians Must live in a State of Perpertual Paranoia

    Hivi kwanini wengi ya wanaotumia neno uzalendo ndio hao hao wanaoshabikia wagombea wa kutupeleka ahera uchaguzi wa 2015?
  6. Taahira

    Wizara ya Afya yamruka Manumba, wahoji alikoipata ripoti ya Mwakyembe!

    Hivi kwanini Mkapa alibadilisha mawazo na hivyo kuharibu makubaliano ya hawa na Chadema kugombea kupitia Chadema 2005?
  7. Taahira

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Hivi kwanini katika hili wewe hauji hisi ni taahira kama mimi?
  8. Taahira

    Kikwete alikuwa shamba week end hii

    Hivi kwanini asibakie huko huko shamba?
  9. Taahira

    Wizara ya Afya yamruka Manumba, wahoji alikoipata ripoti ya Mwakyembe!

    Hivi kwanini idara ya DCI isibinaifisishwe tuwe na chaguo kama vile KK Security dhidi ya Jeshi la Polisi?
Back
Top Bottom