So hatakiwi kuongea? Ukute hana hata nafasi ya kupeleka mawazo Moja Kwa Moja sehemu huska ,
uchawa upo kwenye siasa Kwa maslahi binafsi sio rahisi kisikilizwa. Ametoa tahadhari juu ya kinachoendelea na amerejelea yaliyotokea Zanzibar.
Fair competition haikuwepo ni chuki tu inazidi...
TRUMP:
Anapinga ushoga
Anapinga Vita inayoendelea Ukraine
Anaongoza kwa ushawishi zaidi ya Biden kwa wapiga kura wao
Hapendelei Sana ufadhili wa NATO kwa fedha za malekani (equal sharing kwa kila mwanachama)
Trump ni muumini was malekani Kwanza sio wahamiaji.
Anaamini viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.