Yaan serikali Kama haikupendi haikupendi tu hata uifanyie mazur kiasi gani ukweli ni kwamba anafanya hayo mambo yote kwa kua anapendwa na mtu mmoja tu nje ya hapo hawez simama yy kama yy akafanya kitu akakubalika
Hapo ni sawa kumchukua mesi ronaldo neymer Suarez na Juma saidi nyoso ukawaweka kundi moja na kuanza kulinganisha uwezo wao uyo mmoja umemuonea sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ss watz kwa kujitetea hatujambo ndo maana nchi zingine ukikamatwa mtz unaiba ni kipogo maana wakikupa chance ya kujitetea wanaeza kukuachia wakati ulikua unaiba kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia pia kwa kusema tunataka kuona Uhuru Wa vyombo vya habari tunataka kuona wapinzani hawakamatwi ovyo tunataka kuona hakuna ubaguzi Wa wapinzani na Wa rumumba tunataka kuona haki ikitendeka kwa wote tunataka kuona kila mtu anakua huru kusifia na kukosoa serikali sio ukikosoa unaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.