Wakuu siku hizi nyapu zimekuwa rahisi sana, sio pisi kali za kitaa ama zile zinazofanya biashara
Waliopo kwenye mji mikubwa ukiwa na buku jero unapata nyapu faster, kiufupi sisi tulioanza kula nyapu zamani kidogo, tunaona kabisa siku hizi nyapu zimezagaa, miaka ile kumfukuzia demu inaweza...
Sikatishi tamaa ila hiyo ya kuweka store mpunga nimeifanya mwaka jana mkuu, nipo Geita na nilijilimia mwenyewe mpunga kipindi cha mavuno haukuwa na bei sana ilikuwa arround 45k mpaka 50k
Likaniijia wazo la kuuhifadhi eti nisubiri bei mkuu mpaka ukafika msimu wa kilimo tena bei ipo 50k -55k...
Natafuta chimbo zuri la kupata mzigo mzuri wa nguo za mtumba grade one kwa Mwanza ni wapi naweza pata, nataka nifanye biashara ya nguo na mtaji wangu ni kidogo siwezi kununua belo lakini pia naogopa kupata lonya ipo 250k
Naomba msaada kwa wajuzi?
Nakumbuka mara ya kwanza kutongoza nilikula tunda kimasihara siku hiyo hiyo, tulikuwa tunacheza kombolela usiku ile wakati wa kujificha nikamfuata mdada mmoja (nilimpenda sana) tukawa tunabisha
Mimi: "ukinipa papuchi nakupasua"
Yeye: "huwezi kwanza wewe bado mtoto mdogo"...
Mkuu mambo ya picha achana nayo, hapa tunataka msaada kwa haya yanayotukuta
Mbona watu wa siku hizi mmezidi kejeli, kama wewe una maisha usituzarau sisi ambao tunalialia
Kama unaweza kutusaidia tusaidie tu mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.