Hata ARV'S ni hiari lakini watu wanajipeleka wenyewe wakitingwa na sasa ni normal tu, wanakunywa hata hadharani ,chanjo ya corona ni hiari siku ukitingwa utajipeleka mwenyewe
Mbozi kuna chenga sana mama Samia imulike mbozi uhamisho wa walimu mwingi ni feki kwa mfano barua ya uhamisho anaandika mkurugenzi anakuja MTU kwenye idara ana sitisha uhamisho kwa niaba ya mkurugenzi bila kujua halafu anatengeza pesa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.