Hii kitu kuna jamaa aliweka 4,000,000 hadi sasa ana zaidi ya Mil 24 na kila siku anaingiza karibu laki 5 ukimuuliza umeshawahi kutoa anasema bado ...anasubiri aingize laki 7 kwa siku ndo atoe ....wenye mitaji yao wajilipue hii hakuna kukosa
Suala la watumishi wengi wa serikali kuwa NMB ni kwamba hapo awali hadi kwenye miaka ya 2010, CRDB haikuwa na matawi mengi hasa wilaya zilizoko pembezoni hivyo ilikuwa mtumishi anapoajiriwa akiambiwa afungue akaunti lazima ataenda NMB kwasababu ndiyo benki pekee iliyopo....sasa angalau CRDB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.