zote znahajira hakuna coz isiyo na ajira.......Ajira yako n CONNECTION kama huna CONNECTION imekula kwako soma TAFUTA CONNECTION utakuja nikumbuka kwaher
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hakuna kozi icyo na soko ndio maana znafundishwa kila cku kwa maana bado znauhitaji wa watu....UJUMBE WANGU ni huu soma TAFUTA CONNECTION narudia tena TAFUTA CONNECTION narudia tena SOKO LA KOZI NI CONNECTION utakuja nikumbuka cku za mbelen nshamaliza na kwaher
Sent from my TECNO KB7j using...
Habari ya Chief... Sorry nilikuwa naomba msaada wako me natumia Samsung S4 T-mobile ila nashangaa kuna line nashindwa tumia kabsa kama ukiweka airtel inaandika insert simcard, nikiweka voda inakubal tatzo kwenye mtandao haikubal kwangu inakubal halotel na tigo tu bac nini tatzo naomba nsaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.