Recent content by Swingman

  1. Swingman

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    H pyrol hasababishi tonsils ila anasababisha acid reflux kunapokuwepo na acid reflux lazima apate tonsils zisizopona so lazima atibie h pyrol kwanza
  2. Swingman

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    Ndo zinakuletea tonsils kama umepima nunua heligo kit kunywa on time kama bado watakuwepo Tumia combination ya clarothromycin kampuni ya claranta , afu kuna tinidazole na omeplazole hiyo combination huwezi kutest postive h pyrol tena
  3. Swingman

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    Pole sana mkuu, kama tonsils zinajirudia means kuna kitu hakipo sawa usiendelee kutibia tonsils kwanza ebu fanya kupima h pyrol kwanza then test acid reflux (esophagram) na usiache kupima HIV
  4. Swingman

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    kwenye mishe zako zote hujawahi kwenda kwa mganga masta?
  5. Swingman

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Simulizi hii ingekua ni kisa cha kweli siyo irn tu na mama j pia kwa maisha ya shigongo wetu huyu angekua na msela na ipo siku shigongo angekuja kuzifuma meseji za kuliwa tu
  6. Swingman

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Insider yuko busy na paper tulizeni atakuja aendelee kuwapandisha basi lake hili
  7. Swingman

    Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    i lived in vegas for about two years acha kabisa hao wote ni vijukuu wa las vegas wazee
  8. Swingman

    Mkuu wa Shule na Mzazi wa Mwanafunzi walinitengenezea zengwe hadi nikafukuzwa kazi

    Haki ya mtu haipotei kama una uhakika haukumtongoza dogo kweli nicheki pm nikupe code ya mganga utarudi kazini chap ila hakikisha kweli hukumtongoza dogo
  9. Swingman

    Msaada kuhusu tatizo la koo kuhuma (persistent sore throat)

    Acid reflux hiyo bro nenda muhimbili endoscopy ifanyike uanze antiacids
  10. Swingman

    Kuna Jamaa anamla Shemeji yangu

    Sasa kama kaka ako hana bidii shemeji afanyeje#kuchapiwa ni siri ya ndani acha umbea dogo
  11. Swingman

    Madhara ya bangi yanatokea baada ya siku ngapi?

    Vutia chooni utakuja kunishukuru...
  12. Swingman

    Ngoma mpya ya King Kiba (So Hot) ni hot kweli kweli

    Dah! Hilo promo nikajua mshikaji anakuja na ngoma kali asee ni nyimbo ya kiunderground sana
  13. Swingman

    INAUZWA Chupi za kike za cotton zinauzwa

    Wanachama wa chaputa ndo tunatoka job sasa
Back
Top Bottom