The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,451
- 17,155
Utafiti uliofanyika huko Marekani na Netherlands kuanzia miaka ya 80 unaonyesha kwamba wazazi wenye watoto wa kike ni rahisi sana kuachana kuliko watoto wa kiume.
Sababu inaonyesha kwamba ni rahisi kulea watoto wadogo wa kiume kuliko wa kike.
Utafiti unaenda mbali zaidi na kusema talaka inakua rahisi zaidi kama mtoto wa kwanza akiwa ni wa kike.
Zaidi soma hapa mwenyewe.
Sababu inaonyesha kwamba ni rahisi kulea watoto wadogo wa kiume kuliko wa kike.
Utafiti unaenda mbali zaidi na kusema talaka inakua rahisi zaidi kama mtoto wa kwanza akiwa ni wa kike.
Zaidi soma hapa mwenyewe.