kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Ndugu zangu siku zote hizi nilikuwa nimekariri kuwa bangi ina madhara
Sasa kuna rafiki yangu mmoja hivi mzungu anavuta bangi saana lakini jamaa ni mtu poa kabisa wala hana matatizo na watu
Sasa kuna siku nilijaribu kuvuta bangi.
Alinipa nikavuta kabisa. Sasa nina wiki moja 1 nasubiri madhara ya bangi.
Labda nitakuwa mgomvi au tapeli au mtu yeyote mbaya mbele za watu naona kimya kabisa, tabia zangu ni zile zile tu hakuna kilichobadilika
Sasa nauliza ndugu zangu hivi madhara ya bangi yanatokea baada ya siku ngapi?
Sasa kuna rafiki yangu mmoja hivi mzungu anavuta bangi saana lakini jamaa ni mtu poa kabisa wala hana matatizo na watu
Sasa kuna siku nilijaribu kuvuta bangi.
Alinipa nikavuta kabisa. Sasa nina wiki moja 1 nasubiri madhara ya bangi.
Labda nitakuwa mgomvi au tapeli au mtu yeyote mbaya mbele za watu naona kimya kabisa, tabia zangu ni zile zile tu hakuna kilichobadilika
Sasa nauliza ndugu zangu hivi madhara ya bangi yanatokea baada ya siku ngapi?