Recent content by sweveta

  1. sweveta

    Eneo lenye hekari 3 lenye majengo ya hostel za kulala wanafunzi wapatao 300 linauzwa

    Still the plot is open for sale. 0658123073
  2. sweveta

    Eneo lenye hekari 3 lenye majengo ya hostel za kulala wanafunzi wapatao 300 linauzwa

    Eneo lipo mbele ya madale mbele kidogo ya nyumbani kwa kawawa sehemu iitwayo mbopo, ni eneo la ekali 3 lina miembe na michungwa pamoja na majengo yaliyo jengwa kwa mahitaji ya hosteli ya wavulana na wasichana wasio pungua 300, linauzwa kwa bei Milion Tsh. 500,000,000/- (Mazungumuzo yapo), na ni...
  3. sweveta

    Tabiri hapa Nchi itakayotwaa kombe la Dunia 2014

    Brazil itachukua ubingwa
  4. sweveta

    Tanzia: Nimefiwa na mwanangu

    pole sana bro
  5. sweveta

    Jamani kwa wenye taarifa kuhusu hawa Asasi ya QUICKEN LOANS Ni wa ukwel au matapali tu???

    Jamani hakuna kitu kama hicho. Hao watu ni matapeli. Ukijaribu tu kutuma pesa zako umeliwa.
  6. sweveta

    Viwanja vinauzwa eneo la madale.

    Madale ipo mkoa wa dar es salaam wilaya ya kinondoni, mbele ya tegeta kiwanda cha twiga cement.
  7. sweveta

    Viwanja vinauzwa eneo la madale.

    Bei ya hivyo viwanja ni @ 3.5m havina hati ila vipo katika eneo zuri na tulivu.
  8. sweveta

    Viwanja vinauzwa eneo la madale.

    Viwanja vinauzwa eneo la madale urefu 20 na upana 22, vipo katika hali nzuri na vina mimea ya matunda kama miembe, michungwa na minazi. Mawasiliano: 0713261208/0787909045
  9. sweveta

    Nusu fainali ya kombe la mapinduzi SIMBA vs URA

    Hongera sana mnyama
Back
Top Bottom