Mficha uchi kifo humuumbua,
kwa kiasi kikubwa wanaume wengi imegundulika kuwa na tatizo la KUMWAGA OIL mapema sana baada tu ya kudumbukiza mrija kwenye tank.Hali hii inaleta aibu kubwa sana kwa wanaume hasa vijana.NILIWAHI KUSIKIA KUNA VIDONGE VYA KUCHELEWESHA TAFADHALI NAOMBA ANAYEVIFAHAMU NA...
Mara nyingi nimekuwa nikihangaika na dish langu kuzitafuta chanel za Tbc na star tv lakini sizipati.wajua mi npo interior sana,km wamebadili frequency naomba anayefaham anitumie thnks
Habari wana mmu napenda niombe msaada kwenu kwa anayeweza kunisaidia.nipo ktk kwa miaka3 ss mwanzoni nilikuwa fiti sana kimchezo yaani mabao ilikuwa ni km kawa.lakini cku hz nipo luz sana tena cku hizi nikiingiza tu sichukui round namwaga oil. NAOMBA ANEYEWEZA KUNISAIDIA NJIA YA KUCHELEWESHA...
Habari ya ijmaa ndg wadau! mm ni mwanachama wa BIMA YA AFYA nimepita hospitali nyingi hapa nchini kila ninapoandikiwa ile form ya matibabu garama yake nimeona ikiandikwa bei tofauti mfano.nilienda hospitali 1 kubwa ya mkoa fulani niliandikiwa shl20000.cha kushangaza vipimo vyangu vilionesha...
Hii ni live imemtokea jamaa yangu,mashetani yalimpata mke wake katika harakati za kufanya maombi ghafla mashetani haya yaliomba maombi yasitishwe kwani yalikuwa yanaumia sana.cha kushangaza yalitamka kuwa yameletwa na mama mzazi wa mwanaume.msaada kwenu wanajamii
habari wandugu!! nimeona leo nioneshe maeneo ambayo yamekuwa ni kichaka cha machangudoa hapa mkoani moro.1.cocobeach kati kati ya mji,2.karibu na stend ya mkoa,yawezekana kuna maeneo mengine hatari zaidi naomba tujuzane ili mamlaka husika zichukue hatua.NB;Jadili mada usijadili mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.