donbeny
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,612
- 3,242
Dawa ni chakula bora samaki,ugali wa dona,matunda etc na sio junk food haifaiNasikia pia kuna spray ukipuliza juu ya hii kitu hakinywei upesi. Mie sio mtaalam ma dokta watatujuza
Dawa ni chakula bora samaki,ugali wa dona,matunda etc na sio junk food haifaiNasikia pia kuna spray ukipuliza juu ya hii kitu hakinywei upesi. Mie sio mtaalam ma dokta watatujuza
Dawa ya kuchelewa kumwaga kwa wakati wa tendo mapenzi ninayo nitafute kwa wakati wako Niandikie baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com waweza pia kunitembelea blog yangu hii hapa bonyeza Mzizi Mkavu
Vipi kaka hujambo? Vijana wanawahi kumwaga kwa sababu ya kupiga sana Punyeto waache kupiga punyeto watakuwa wakichelewa au wawe wanakunywa kahawa chungu kabla ya mchezo kuanza au chokoleti watachelewa kumwaga mapema.
wanapigwa na nani maana vijana wote ndo wako hivyo?Matatizo yamewazidi vijana chukueni hatua la sivyo kupigiwa itakuwa ni siri ya ndani.
Dada usitake solution ya mda mfupi tafuta ya kudumu....talk to him mpe njia za kuchelewa na umuandae kisaikolojia!Mficha uchi kifo humuumbua,
kwa kiasi kikubwa wanaume wengi imegundulika kuwa na tatizo la KUMWAGA OIL mapema sana baada tu ya kudumbukiza mrija kwenye tank.Hali hii inaleta aibu kubwa sana kwa wanaume hasa vijana.NILIWAHI KUSIKIA KUNA VIDONGE VYA KUCHELEWESHA TAFADHALI NAOMBA ANAYEVIFAHAMU NA GHARAMA YAKE ATUSAIDIE.
Weeeee itakuwa huyo demu kiuno kigumu ungeomba poo mwenyewe ohooo dear subiri ntak.....joa.
Hahahaaa. Mi natafuta wa kiuno kilaini...nitampataje?
Wapo kama mimi lkn ndio nimeshawaiwa utapata tu.
Punyeto iondoe hapo; mimi nimepiga sana punyeto nikiwa shule ya upili, nilikuwa na tabia ya kupiga punyeto bao likitaka kuja nalizuiya kwa kubana misuli kama unavobana mkojo uskojoe, nafanya hivyo ili niendelee kuskia raha ya punyeto bila kupiga bao (ukipiga bao unajiona mjingamjinga flan), mpaka nazeeka sasa sijapungukiwa nguvu yoyote, tena naweza kusimamia show hata masaa kadhaa bila kupiga bao, bao naliachia nikipenda tu au mwenzangu akichoka. baadaye nilikuja kusoma sehem kuwa kitendo kile ni kuifanyisha mazoezi misuli ya uume, hivyo inakuwa imara na unakuwa na self control. Vijana ya sku hizi wanaatiriwa na vyakula wanavyokula, chipsi soda utafkiri wanawake!
mkuu hapo nakubaliana na wewe...hiyo experience imenejienga sana bila kujua.....nyeto nimepiga kwa staili zote sema tu nilikua sipend ile hali ya kumwaga...nakua najickia vibaya including kujifeel guilty..so ikawa nazuia bao..mara nyingi sana i do the same...mpaka leo mwanamke yeyote akito.mbwa na mimi lazima akojoe amalize matatizo yake ndo na mie nishushe...tatizo vijana wwakisikia wazungu wanakuja wao wanajiachia tuuu sereeee...maanina lazma ile kwao
Usijizoeshe mavidonge yatakuchanganya itakuwa huwezi bila ya vidongeMficha uchi kifo humuumbua,
kwa kiasi kikubwa wanaume wengi imegundulika kuwa na tatizo la KUMWAGA OIL mapema sana baada tu ya kudumbukiza mrija kwenye tank.Hali hii inaleta aibu kubwa sana kwa wanaume hasa vijana.NILIWAHI KUSIKIA KUNA VIDONGE VYA KUCHELEWESHA TAFADHALI NAOMBA ANAYEVIFAHAMU NA GHARAMA YAKE ATUSAIDIE.
Naomba ni- pm tafadhali@LeomimiWeeeee itakuwa huyo demu kiuno kigumu ungeomba poo mwenyewe ohooo dear subiri ntak.....joa.
Mficha uchi kifo humuumbua,
kwa kiasi kikubwa wanaume wengi imegundulika kuwa na tatizo la KUMWAGA OIL mapema sana baada tu ya kudumbukiza mrija kwenye tank.Hali hii inaleta aibu kubwa sana kwa wanaume hasa vijana.NILIWAHI KUSIKIA KUNA VIDONGE VYA KUCHELEWESHA TAFADHALI NAOMBA ANAYEVIFAHAMU NA GHARAMA YAKE ATUSAIDIE.