Habari za jioni Wana JF ,Mimi ni kijana mjasiriamali ,nina jishughulisha na biashara ya kutengeneza na kuuza Milk products kama Yogurt na Cultured milk(mtindi) ila changamoto ninayopata ni baadhi ya wateja kutoamini ubora na usalama wa bidhaa hizi ,hii imesababisha niache kutengeneza kwa muda...
Habari zenu wana JF ni biashara gani ninayoweza kufanya kwa mtaji wa sh 200000, biashara ambayo haitachukua muda mrefu (Less than 2months) kuanza kuona faida..
AHSANTENI.
Nina ndugu yangu amechaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo tengeru arusha kwa kozi ya certificate in Animal health and production kupitia mfumo Wa NACTE Central admission system (CAS) mwezi july....Ila kwenye profile yake bado Confirmation status ipo pending....je afanyaje?Kuna athari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.