last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,749
- 3,995
Mki ambiwa bangi ni mbaya mnakataa,Ona sasa,nini hicho
Kuna jambo la ajabu ambalo sijui ni Kwa nini inatokea hivi.
Kwamba ninapohitilafiana na mke wangu nikikasirika mara nyingi mvua inanyesha....
Kama kila masika unagombana na mkeo unategemea nn???Kuna jambo la ajabu ambalo sijui ni Kwa nini inatokea hivi.
Kwamba ninapohitilafiana na mke wangu nikikasirika mara nyingi mvua inanyesha ni jambo ambalo limenitokea zaidi ya Mara tatu sijui nini maana yake wataalam msaada wenu Juu ya tukio hili.
Kabla ya kuoa Mara nyingi nikifua shuka zangu pia mvua ilikuwa inanyesha hata kama hapakuwa na dalili japo ilikuwa inategemea na uchafu wa Shuka.(...... )Mkuu kuna watu wanachukulia utani, hata mie nishawahi kushuhudia mama mmoja ambaye ilikuwa Mara nyingi kama sio zote akifua tu mvua inanyesha hata kama hakukuwa na dalili ya kunyesha mvua,yani ilikuwa kama utani vile.
@mshanajrKuna jambo la ajabu ambalo sijui ni Kwa nini inatokea hivi.
Kwamba ninapohitilafiana na mke wangu nikikasirika mara nyingi mvua inanyesha ni jambo ambalo limenitokea zaidi ya Mara tatu sijui nini maana yake wataalam msaada wenu Juu ya tukio hili.
Mkuu umefanya nikumbuke baadhi ya matukio ya ajabu ya aina kama hii,tatizo watu huwa tunayapotezea ila mambo haya yapo.Kabla ya kuoa Mara nyingi nikifua shuka zangu pia mvua ilikuwa inanyesha hata kama hapakuwa na dalili japo ilikuwa inategemea na uchafu wa Shuka.(...... )
Kuna mvua aina nyingi bhana,habu fafanua ni mvua aina gani?,kuna mvua ya matusi,mvua ya kujikojolea,kukojolewa,mvua ya maji kutika mawinguni n.k,hebu fafanua.Kuna jambo la ajabu ambalo sijui ni Kwa nini inatokea hivi.
Kwamba ninapohitilafiana na mke wangu nikikasirika mara nyingi mvua inanyesha ni jambo ambalo limenitokea zaidi ya Mara tatu sijui nini maana yake wataalam msaada wenu Juu ya tukio hili.
Nimecheka sana japo ni ushauri wa kimaalumWewe una ngiri,.. Kwa hiyo mawingu yakifunga ngiri inauma unamkasirikia kila mtu. Na Kama wingu limefunga unategemea nini zaidi ya mvua? Pata ushauri wa daktari.
HahahahaWewe una ngiri,.. Kwa hiyo mawingu yakifunga ngiri inauma unamkasirikia kila mtu. Na Kama wingu limefunga unategemea nini zaidi ya mvua? Pata ushauri wa daktari.