Shukran kama umeliona hilo mkuu walikuja vizuri sana lakini siku zinavoenda ndio wasikilizaji watapungua matangazo hatukatai yasiwepo lakini yawe interval ya mda fulani kipindi kinaanza saa tatu lakini habari ya kwanza saa tatu na nusu hii sidhani kama iko sawa halafu michezo ya kimataifa...
Jamani wadau hili swala limekaaje wanyama naona kapewa jina la mtaa V. Wanyama street maeneo ya kinesi shekilango wakati Ma legend wa tanzania hapa sijawai kusikia hili swala Au kwa vile anachezea EPL?
Mimi naona kuna haja ya Mitaa wachezaji wakakumbukwa Lunyamila na wengine wengi sababu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.