Wapenzi wasomaji wa JF, Niwatake radhi kwa kuotkuwepo kwangu kwa kipindi kidogo.
Suala la Zanzibar halijatulitulia machoni pa wananchi wengi.
Naona tu tuvunje tu huu muungano.
Jamani ya kweli haya??
Mbona imekaa kisirisiri sana?? Tuamini kipi?? Serikali inasemaje? mkono mrefu wa kumsaka popote ndio huo? Mh, hata haiclick ubongo wangu.
Let see.
Lakini tusilalamike sana kuhusu hawa wachaga kwani Mungu kawajalia vipaji vingi sana.
Kwanza utafikiri hii inayoitwa pesa amezaliwa nayo, Pili huwa wanatreak nyingi sana za kusaka pesa. Lakini pia hata madarasani wanajitahidi sana pamoja na kwamba wote waume na wakike wakikaa hata ikulu...
Tumekupata freshi.
Ila huyu mh, Dr. Amani Abeid karume naona kama hajiamini sana kwani anasema hawezi kufanya mazungumzo na CUF iwapo hawatatangaza hadharani kwamba yeye ni rais halali wa Zenji. Jamani kuna mlalahoi yeyote anhitaji kupelekwa darasani kumtambua huyu jamaa kama ni raisi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.