Habari za mchana ndugu zangu, naomba mwenye uzoefu wa kilimo cha maharagwe anielekeze njia na hatua za kilimo hicho ili kuweza kupata mavuno mengi maana nahitaji kulima Aina hiyo ya kilimo, ushauri wenu muhimu sana
Asanteni [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kweli wewe ni mjinga maana umeshakariri kuwa kila anaesoma diploma au certificate alifeli, wengine tumefaulu vzr Zaid yako na tunaitaka hiyo diploma, unatamba ikiwa ulipata iii point 24
Lkn si umeona jinsi katiba imefanya kazi nzuri, kama isingekuwa katiba nzuri na kiongoz mwenye kufuata katiba leo kenyatta angekuwa ameshaapishwa, umeelewa sasa mkuu!!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.