nyumba nzuri self cintainer ina vyumba vya kulala vitatu kimoja ni master, sebule, dining, jiko, choo, ipo ndani ya fence. soko maziwa kigamboni. kituoni ni mwendo wa dk 2, maji ya kutosha. bei ni tshs 350,000. kodi kuanzia miezi sita. kwa atakaehitaji tuwasiliane kwa namba 0758174949