Chumba na sebule vinapangishwa - Kigamboni

Chumba na sebule vinapangishwa - Kigamboni

Suzzie

Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
98
Reaction score
12
Habari zenu wapendwa, kuna vyumba na sebule vinapangishwa kigamboni eneo la soko maziwa mbele kidogo ya tungi kwa shilingi 70,000/ kwa mwezi. kodi ni kuanzia miezi sita. maji yanapatikana masaa 24. ipo karibu kabisa na kituo ni mwendo wa dk 2/3 kufika kituoni. kwa anaehitaji ani pm
 
Nafikiri ianzishwe JF adverts . unarusha mpesa kiasi fulani kwanza ndio tangazo lako hewani sio bure bure Invisible and others....
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri ianzishwe JF adverts . unarusha mpesa kiasi fulani kwanza ndio tangazo lako hewani sio bure bure Invisible and others....

Yeah, wazo zuri sana Mkuu. Pia ukitaka kusubmit post YOYOTE unalipa jero kwa mpesa, hii itasaidia kupunguza post zisizo na mashiko.
 
Yeah, wazo zuri sana Mkuu. Pia ukitaka kusubmit post YOYOTE unalipa jero kwa mpesa, hii itasaidia kupunguza post zisizo na mashiko.

duh kila kitu mnapinga. Sasa nini maana ya matangazo madogo?? apeleke wapi tangazo. Binafsi sijaona kosa lake mpka kusema post haina mashiko.
NB: Fairness ndio msingi wa ubinadamu
 
duh kila kitu mnapinga. Sasa nini maana ya matangazo madogo?? apeleke wapi tangazo. Binafsi sijaona kosa lake mpka kusema post haina mashiko.
NB: Fairness ndio msingi wa ubinadamu

HAUJANIELEWA; nimemquote huyo jamaa anayesema matangazo madogo yawe yanalipiwa.
 
acheni tamaa unadhani uongozi wa Jamii Forums haujawahi kufikiria hilo? kuna njia za kupata hela ila sio kuchukua 500 kwa mtu wa chini. Go to hell Cyberteq na mwezako ,hili jukwaa la matangazo na sio la mapenzi au siasa.
 
Nafikiri ianzishwe JF adverts . unarusha mpesa kiasi fulani kwanza ndio tangazo lako hewani sio bure bure Invisible and others....

Sikubaliani na wewe hata kidogo JF ina njia nyingi ya kupata fedha,kwa tz JF ndio inaongoza kwa traffick kwahyo kampuni nyingi zinapenda kuadvertize na JF.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom