Nyumba nzuri na ya kisasa inapangishwa

Nyumba nzuri na ya kisasa inapangishwa

Suzzie

Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
98
Reaction score
12
nyumba nzuri self cintainer ina vyumba vya kulala vitatu kimoja ni master, sebule, dining, jiko, choo, ipo ndani ya fence. soko maziwa kigamboni. kituoni ni mwendo wa dk 2, maji ya kutosha. bei ni tshs 350,000. kodi kuanzia miezi sita. kwa atakaehitaji tuwasiliane kwa namba 0758174949
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom