tatizo mnajivika fani ambazo hamna ujuzi nazo, kati yenu hakuna hata mmoja mwenye fani ya ualimu kwamaana angekuwepo angelitumia busara na lugha inayofaa kumuelisha mtu hta kumfundsha pia, kwaiyo acheni kujifanya wajuaji, kazi hyo wachien wenye fani zao. changia mada jinsi inatakiwa hayo mengine...
Habari wanajanvi,
Mimi ni mdau wa JF na ninatafta kazi katika taasisi serikaini au binafsi.
Elimu yangu ni Diploma ya Mass Communication.
Nawaombeni wanaJF wenzangu kama kuna mtu ana mchongo wa kazi aniunganishe.
wadau, naombeni msaada kwa wale wenye uzoef na biashara ya mpsa.nikuwa nahtaj kufanya biashara hyo je inalipa vzur? na utaratbu wake ili kuanzisha biashara upo vp?
habar wakuu, kwa wanaoufaham vizur mkoa wa geita naomben msaada kuhusu hili,nina lak 5, pesa hiyo nahitaj kuifanyia biashara. sina uzoef wa biashara wara idea kuhusu nifanye biashara gani yenye soko zur kwa mkoa wa geita. nawaombeni msaada wenu.
Kwa weweunaedai mtaj wa lak moja unatosha, heb twambie unatosha kwa kufanyia aina ip ya biashara? Mm pia sina kaz nataman kufanya biashara au kuajiriwa
tumia namba yangu 0759919873 endapo utahtaj maelezo mengne ila zaidi nenda kanisa lolote lilipo karb nawe la ki adventist uwaambie nahtaj kujiunga na kanisa la wakristo wa kweli hpa dunia(yaan kanisa la wasabato)
kwa mwenyukujua naomba msaada. iv majina ya nafas za upolice kwa wenye taaruma mbalimbali yanatoka lin? mimi niliomba lakin nikasahau kuweka cheti cha fm 4 nikaweka resaltsleep hapo wanaweza niita kweli au ndo nshanjiwa baharini?
Ndugu zangu wataalam wa sience kuhusu magonjwa,
Kuna masage nimetumiwa inasema hivi, kuna ugonjwa ambao umeingia kwa wanawake ugonjwa huo ni wakuvimba sehemu za mwanamke(mashavu ya uke) baada tu ya tendo la ndoa na uvimbe huo husababshwa na fangasi.
Swali langu: Je, nikweli kuvimba kwa...
Tafadhali rafiki ndugu najamaa wote,
Usitumie namba 0759919873 endapo huna jambo la maana na lenyekujenga.Toa hoja ya maana kwakutumia hekima na busara. Pia ileweke namba hyo si kwaajili ya uchumba wara ndoa, kama unania hiyo pia usithubu kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.