Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 840
* Sasa nani kazungumzia sula la udini kama sio wewe mwenyewe....Kumbe sabato ni dini???
Achen udini bhna, mkishafahamiana then what??????
* Kama post haikuhusu unapita....
* Sasa nani kazungumzia sula la udini kama sio wewe mwenyewe....Kumbe sabato ni dini???
Achen udini bhna, mkishafahamiana then what??????
We Dada yangu niambie
Nikwambie nini?sina cha kukwambia
Kumbe sabato ni dini???
Achen udini bhna, mkishafahamiana then what??????
kiwatengu asipaone hapa alivo mmbea atamwambia Nyani Ngabu
Vale wangu mambo vipi mamy? Tangu Jana nakusubiri falagha hauonekani mi ntalia.
Hahahahahaa muzee ya udaku kiwatengu
We usimuogope Nyani Ngabu Yule ni bwana mudogo ya kinyatuzu tunashare tu Shemeji!
Acha kukashfu imani za wenzako kwenye sentensi yako ya mwanzo.
Majanga 2.0!
Vale wangu mambo vipi mamy? Tangu Jana nakusubiri falagha hauonekani mi ntalia.
naona mnapga story tu jitambulishen bas tufahamiane unasema unaitwa nan upo wap mawasiliano yako pia
aiseeee 😀 we ni noumaa
Hahahahahaa muzee ya udaku kiwatengu
We usimuogope Nyani Ngabu Yule ni bwana mudogo ya kinyatuzu tunashare tu Shemeji!
Habari ndugu jamaa na marafiki,
Napenda tufahamiane wale wote vijana wa kike na kiume ambao niwaumini wa dini ya kisabato.
Bwana awabariki
L....shindo loko.