Recent content by sushii

  1. S

    Nauza Dell Monitors 17" kwa bei rahisi

    Ukipata nchi 24 nishtue boss
  2. S

    Naomba nijibu haya kuusiana na virusi vya HIV

    Mkuu izo ni dalili za magonjwa mengi sana fika karibu na kituo cha afya au hospital kubwa uonane na daktari, elisa ni kipimo kinachopima antibody za kinyemelea, ila waweza pima kipimo icho kingine kinaitwa western blot icho kinapima dna protein ya kinyemelea hata kabla mwili haujafika uwezo wa...
  3. S

    Plot4Sale Plot for sale at Kiluvya

    Vile vipimo vipo ktk nini mkuu, meter, futi, miguu, hatua
  4. S

    Naomba kujua mtaji wa kawaida kwa mtu anaeitaji kuanzisha gym

    https://www.instagram.com/vifaa_vya_mazoezi/ Mkuu mcheck huyo jamaa atakusaidia na anauza na vitu nazani ni bora ukaanza na vitu basic then una upgrade ila ukipata bench na vyuma vyake set, tread mill ya manual usianze na umeme kupunguza running cost, dumbbell jamaa ana kila kitu hata kwa...
  5. S

    Miliki kiwanja kizuri chenye hati na kwa gharama nafuu.

    Akikujibu nishtue mana nami niko interested ila hajanijibu kuhusu mchoro hapo juu
  6. S

    Miliki kiwanja kizuri chenye hati na kwa gharama nafuu.

    Mkuu tuwekee mchoro wa surveyor plan wa ilo eneo au umepima wewe mwenyewe mkuu
  7. S

    Natafuta Pampu ya umwagiliaji

    Wakuu hakuna kweli mwenye ufahamu wa hili, msaadatafadhali
  8. S

    NIUZIE AU NIKODISHIE CHAINSAW

    Mcheki KISIMA mkuu inbox yuko TURIANI ila anaweza fika hadi huko popote
  9. S

    Natafuta Pampu ya umwagiliaji

    Mkuu nisaidie mie nategemea kuchimba kisima 30-50m under ground na pia juu ya ardhi kitasukuma maji hadi kama 5-10m, je hapa nitahitaji pump ya uwezo gani na kwa zilizopo bei zinaendaje? Kwa iyo pump lengo nikipump iwe mara moja au mbili kwa wiki nyingne zitasukuma drip irrigation na njia...
  10. S

    Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Atakuwa anatumia reference ya sheria za LOAN BOARD HELSB mkuu labda itawezekana
  11. S

    Naomba Ushauri

    Chukua BMW, kama umeiwaza utaimudu bro! Ni gari nzuri sana two friends wanazo ni sijawahi kuona wanalalamika na wana average TANZANIAN salary
  12. S

    Msaada kwa mwenye uelewa wa Suzuki Escudo toleo la tatu.

    Mkuu nunua tu TD54W nazani unamaanisha, hakikisha unaangalia grade ya gari na sio just milegae ingawa bei yaweza kuwa juu kidogo, lakini ni gari zisizokuwa na magonjwa marakwamara nina uhakika ninao kwambia na ninzuri off road na highway kwa uzoefu wangu, ila tu size ya boot nyuma ni ndogo...
  13. S

    Uzi maalumu vifaa vya ujenzi Uza/nunua

    Kiwanda gani mkuu cha bati au brand gani
Back
Top Bottom