Recent content by SURUMA

  1. S

    Dodoma: DC Katambi aamuru kijana aliyeropoka ''Umetumwa'' akamatwe na jeshi la Polisi

    Hii ni Level ya kutukuka ya UUNGWANA NA BUSARA......Bado sisi na viongozi wetu tuko katika safari ndefu kufikia KIWANGO HIKI
  2. S

    Ipe maneno picha ya leo....

    Don't get scared I am a VEGETARIAN:-)
  3. S

    If I can turn back the time...

    Mkuu hiyo ni LEYLAND...:-)
  4. S

    Kuelekea mezani na ACACIA, tumepigwa kabla ya meza?

    Mkuu masahihisho kidogo; Adnan Kashogi alishafariki
  5. S

    Star wa filamu ya home alone amefariki dunia

    Mkuu si utulie kidogo USOME na kupata ujumbe ndio u-comment??? Hakuna anayekukimbiza:-)
  6. S

    Wewe jibapa wewe

    Hapo anahangaika kupata maana ya jina Konyagi baada ya kuibadilshanisha O na I kwenye jina hilo:-)
  7. S

    Hivi kwanini wanawake hawapishani kwenye siti wakiona mwenzao mjamzito kasimama?

    Mimi huwa nafananisha hii roho mbaya ya akina dada (mama) na suala la wachawi wengi duniani kuwa wanawake...Wakatili sana hawa ........
  8. S

    Rais wa Zambia Edger Lungu, Apigiwa Magoti na Waziri Wake

    Hata kama ni kutubu; anatubu na RAIS anasikiliza kutubu kwake??? Kwa hali yoyote hii haiko sawa
  9. S

    Swala la kufanya ngono ndani ya gari wadada huwa mnapenda au?

    Mkuu labda aliona rhythm ya mtikisiko wa gari ambayo haoni waliomo (tinted) lakini gari inakuwa kama MTUMBWI unaokata mawimbi:-)
  10. S

    ULOZI: Mbeya mnafaidikaje?

    Mkuu kwenye products zako kwenye kampuni yako ya BIMA hukuwa na BIMA DHIDI YA ULOZI???? :-)
  11. S

    Rashid Makwiro (Chid Benz) hali yake ni tete kutokana na matumizi makubwa ya madawa ya kulevya

    Huyu hana u-BENZ tena; nitampendelea hata kumuita Chid-IST:-(
  12. S

    Unaweza kumtambua mchezaji gani?

    Mzee MEKO:-)
  13. S

    Mwenye alimpa huyu mzee microphone mungu anakuona.

    Hahahahahaha:-) Mkuu asante sana for making my day:-)
Back
Top Bottom